Posted on: December 9th, 2023
Wizara ya Elimu, Sayansi na teknolojia kupitia wakala wa maendeleo ya uongozi wa Elimu ADEM imetoa mafuzo ya jumuiya za kujifunza kwa walimu wakuu 135 kutoka shule 135 za Wilaya ya Maswa ...
Posted on: December 4th, 2023
Kijiji Cha Mwashegeshi kilichopo kata ya Nguliguli ni miongoni mwa vijiji vilivyokuwa na ukosemu wa huduma ya maji safi na salama hivyo kupelekea wananchi wake kutumia maji yasiyo salama na Safi...
Posted on: November 24th, 2023
Afisa lishe wa Mkoa wa Simiyu Bw. Denis Madeleke ametoa wito kwa Divisheni zote kuwekeza katika lishe ili kukabiliana na tatizo la utapiamlo na udumavu katika mkoa wa Simiyu kwa kuwa matatizo ya lishe...