• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Historia

Utangulizi

Halmashauri ya Wilaya ya Maswa ni miongoni mwa Halmashauri 6 zinazounda Mkoa wa Simiyu zikiwemo Halmashauri ya Itilima, Busega , Meatu, Halmashauri ya Mji wa Bariadi na  Bariadi vijijini.Halmashauri ya Wilaya ya Maswa ilianzishwa mwaka 1926 toka Mkoa wa Shinyanga na kujitegemea kama Halmashauri.

Mipaka ya Wilaya/Jiografia ya Wilaya

Wilaya ya Maswa ni kati ya Wilaya 5 zinazounda Mkoa mpya wa Simiyu. Wilaya nyingine zinazounda Mkoa wa Simiyu ni Bariadi, Busega, Meatu na Itilima.   Kwa upande wa Mashariki inapakana na Wilaya ya Meatu, Upande wa Kaskazini hadi Kaskazini Magharibi inapakana na Wilaya ya Itilima,Kusini hadi Kusini Magharibi inapakana na Wilaya ya Kishapu (Mkoa wa Shinyanga)   na Upande wa Magharibi inapakana na Kwimba (Mkoa wa Mwanza).

Eneo la wilaya

Eneo la Wilaya ni kilometa za mraba 3,398 kati ya hizi 2,475 zinafaa kwa shughuli za kilimo na ufugaji, wakati kilometa za mraba 77 ni hifadhi ya misitu na kilometa za mraba 846 ni miinuko ya mawe, vilima na vichaka

Eneo la Utawala

Kiutawala, Wilaya ina tarafa 3, Kata 36 Mamlaka ya Mji 1 yenye vitongoji 40, pia kuna    vijiji 120, na vitongoji 510.Halmashauri ina jumla ya Divisheni 9 na Vitengo 9.

Divisheni:

i). Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
ii). Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
iii). Viwanda, Biashara na Uwekezaji
iv). Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
v). Elimu Sekondari
vi). Maendeleo ya Jamii
vii). Kilimo, Mifugo na Uvuvi
viii). Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
ix). Mipango na Uratibu

Vitengo: 

i). Usimamizi wa Taka na Usafi
ii). Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
iii). Michezo, Utamaduni na Sanaa
iv). Fedha na Uhasibu
v). Huduma za Sheria
vi). Ukaguzi wa Ndani
vii). Usimamizi wa Ununuzi
viii). TEHAMA
ix). Mawasiliano Serikalini

 

Mwenyekiti wa Halmashauri ni Kiongozi Mkuu, Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ni Mtendaji Mkuu upande wa Serikali za Mitaa.  

Wilaya inaongozwa na BARAZA LA MADIWANI lenye wajumbe 51 kati yao 2 ni wabunge wa kuchaguliwa kwa mchanganuo ufuatao:-

  • Madiwani wa kuchaguliwa -36
  • Madiwani viti maalumu       - 13
  • Wabunge wakuchaguliwa    -2


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.