Posted on: October 19th, 2023
Mradi wa BOOST ni mradi ambao upo kwa ajili ya kuinua elimu ya Awali na Msingi, lengo kuu la mradi huu ni kuboresha upatikanaji wa fursa katika ufundishaji na ujifunzaji bora wa elimu ya a...
Posted on: October 8th, 2023
Minada ya Senani na Shanwa ni miongoni mwa minada mikubwa iliyopo katika Wilaya ya Maswa ambayo inatoa huduma kwa wafanyabiashara na wananchi kutoka maeneo mbalimbali ya ndani ya Wilaya na Wilaya jira...
Posted on: October 7th, 2023
Waziri wa Ujenzi Mhe Innocent Bashungwa amewapongeza wakazi wa Maswa kwa kupata mradi wa barabara ya mchepuko (By pass) yenye urefu wa kilometa 11.3 ambapo serikali ya awamu ya sita ilitoa Fe...