• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DKT NCHIMBI AWAPONGEZA WANANCHI WA MASWA KWA KUSHIRIKI KATIKA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: October 8th, 2024

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Balozi, Dkt Emmanuel Nchimbi amewapongeza wananchi wa Maswa kwa kushiri katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa Wilayani Maswa.

Dkt Nchimbi ametoa pongezi hizo wakati akiongea na wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika viwanja vya Madeko Wilayani Maswa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM.

"Nawapongeza wananchi kwa kutoa ushirikiano kwenye miradi iliyofanyika maana bila nyinyi kutoa ushirikiano miradi hiyo isingefanikiwa." amesema Katibu Mkuu

Aidha Katibu Mkuu ameupongeza uongozi wa Mkoa, Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri, Wenyeviti wa Halmashauri na Waheshimiwa Madiwani kwa kazi kubwa wanayoifanya katika utekelezaji wa Ilani ya CCM.

Pia Dkt Nchimbi amewapongeza wabunge wote kwa kushirikiana na serikali kutekeleza miradi hiyo, pia ameipongeza Halmashauri na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kuwezesha Fedha hizo ili kufanikisha miradi hiyo.

"Hivi ndivyo tunataka nchi yetu iendelee mambo ya msingi ya wananchi wetu, afya zao, Elimu ya watoto wao, barabara Bora, usalama wa raia wetu hayo ndio mambo yanayosimamiwa na serikali inayojitambua na Rais wetu kwa miaka mitatu na nusu ameonyesha kwa vitendo jinsi ambavyo anajali Maisha ya watanzania wetu." Ameeleza Dkt Nchimbi

Pia ameongeza kuwa Rais anatafuta Fedha usiku na mchana kuhakikisha kwamba watanzania wanahudumiwa vizuri pamoja na kusimamia ngazi mbalimbali ili kuhakikisha Fedha zinafika kuhudumia wananchi.

Katika hatua nyingine Dkt. Nchimbi amewataka wananchi wa Maswa kulinda amani iliyoasisiwa na wazee wa nchi hii akiwemo baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere na Mzee Abed Karume .

Pia katibu Mkuu ametumia mkutano huo kuwashukuru wazee wote kwa kujenga Taifa ambalo mpaka Sasa limekuwa na umoja, amani na mshikamano

"Wajibu tulionao sisi watu wa umri wangu na kuendelea chini ni kufanya jitihada kubwa kuhakikisha kwamba tunailinda amani, umoja na mshikamano ambao wazee Hawa wametuachia. Ameeleza Dkt Nchimbi


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.