• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RC KIHONGOSI ATOA KONGOLE MASWA KWA KUPATA HATI SAFI

Posted on: June 24th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Kenani Kihongosi ameipongeza Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa kupata hati Safi iliyotolewa na mthibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG.

"Niwapongeze Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa hati Safi zipo baadhi ya Halmashauri zina hati ya mashaka wengine Wana hati chafu lakini katika Halmashauri ya Maswa, mkuu wa Wilaya hongereni mambo yenu hapa ni mazuri."

Aidha Mhe kihongosi amesema kikao hicho ni mwendelezo wa maagizo ya Mhe Rais na waziri wa TAMISEMI kwa wakuu wa mikoa kukaa na kujadili hoja zote  zipatiwe ufumbuzi  ili Halmashauri iendelee kuwa Bora.

"Niombe wanaohusika na hoja timizeni kwa Mamlaka zenu waweze kuchukuliwa hatua kwa sababu Kuna hoja zingine ni kwa uzembe wa makusudi na Kuna hoja ambazo sio za uzembe wa makusudi mtazame namna gani mtaweza kuchukua hatua ili serikali izidi kuaminiwa na wananchi ili kazi iendelee kufanyika."

Mkuu wa Mkoa ametoa pongezi hizo katika kikao cha kusikiliza repoti ya mthibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa tarehe 20 Juni 2024.

Katika kikao hicho Mhe kihongosi amesisitiza ukusanyaji wa mapato ambapo amemuomba Mkurugenzi Mtendaji kuhakikisha wanafikisha asilimia 100 ifikapo mwisho wa mwaka huu wa Fedha kwa kuwa ana timu nzuri ya wataalamu ili kufikia lengo ambalo waliokubaliana katika Baraza la madiwani.

Sanjali na hilo Mkuu wa Mkoa awevitaka vikundi vyote ambayo vilichukua mikopo ya asilimia 10 na havijarejesha  Fedha hizo kurejesha mara moja vinginevyo hatua Kari za kisheria zitachukuliwa juu yao

"Fedha za vikundi zirudi waliokopeshwa wameshatumia wazilete tuwape vijana wengine waende kutumia Fedha za serikali kwa sababu kama mtu amekopa anashindwa kurejesha maana yake huyu mtu anawamyima fursa watanzania wengine ambao wangeweza kutumia Fedha hizo." Rc kihongosi

Pia Mkuu wa Mkoa ametoa ushauri na nasaha  kwa viongozi na watumishi wa Maswa "Ninawaomba sana upendo ndio ukawe nguzo kuu katika utendaji wetu wa kazi, maandiko yanasema palipo na upendo ndio Pana Kila kitu pendaneni, saidianeni, shirikianeni ili muisaidie nchi yetu."

Akitoa taarifa katika kikao hicho Mweka Hazina wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. CPA Lwiza amesema hoja zilizotolewa na mthibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali kwa mwaka 2022/2023 zilikuwa hoja 128 ambapo menejimenti imetoa majibu ya hoja zote ndani ya siku 21 kama Sheria ya ukaguzi NA 11 ya mwaka 2018.

Katika majibu hayo menejimenti imefanikiwa kutekeleza hoja 113 na kubaki na hoja 15 ambazo zipo katika hatua mbalimbali za utekelezaji.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.