Posted on: February 26th, 2022
Pamba ni nyuzi nyeupe na laini zinazotokana na tunda la mpamba, upekee huu wa pamba umeisukuma wto shirikisho la biashara duniani kutenga siku maalum ya kuadhimisha na kuonyesha namna ambavyo zao hilo...
Posted on: February 24th, 2022
Balozi wa pamba Tanzania Mh. Agrey Mwanri amefanya ziara wilaya ya Maswa yenye lengo la kuelimisha wakulima wa pamba namna bora ya utumiaji wa viuwatilifu.
Akiwa kwenye ziara hiyo Mh Balozi ameamba...
Posted on: December 24th, 2021
Leo tarehe 24/12/2021 umefanyika uzinduzi wa upandaji miti Wilayani Maswa. Zoezi hilo limefanyika katika eneo la Shule ya Sekondari Zanzui iliyoko kata ya Zanzui ambapo miti 10,000 inatarajiwa kupandw...