• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini

Lengo

Kusimamia na kushauri masuala yote yanayohusu miundombinu katika Halmashauri.

Majukumu Kitengo kitafanya kazi zifuatazo:-

• Kushauri kuhusu masuala ya sekta ya ujenzi;

• Kupanga maendeleo ya miundombinu;

• Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo ya wakandarasi;

• Kukagua kazi za ujenzi zinazofanywa na Halmashauri na kuhakikisha ubora wake;

•  Kutoa vyeti kwa wakandarasi kwa mikataba iliyokamilika;

• Kufanya uwekaji lami wa barabara mpya kwa kushirikiana na TARURA;

• Kuanzisha na kudumisha ushirikiano na Taasisi za nje na ndani ya Nchi zinazoshughulikia masuala ya miundombinu;

• Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi;

• Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi; na

• Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya Ardhi.


Divisheni hii ina Sehemu tatu (3) kama ifuatavyo:-

• Sehemu ya Kazi;

• Sehemu ya Barabara; na

• Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini.

Sehemu ya Kazi

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

• Kutoa ushauri wa sheria, kanuni, taratibu na mambo yote yanayohusu ujenzi;

• Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni za masuala ya ujenzi;

• Kuandaa mikataba inayohusiana na majengo na mitambo;

• Kutayarisha na kukadiria gharama za ujenzi;

• Kufuatilia utendaji kazi wa wakandarasi;

• Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;

• Kukagua majengo na kuhakikisha ubora wake;

• Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba; na

• Kusimamia uendeshaji wa warsha za Halmashauri.

Sehemu ya Barabara

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

• Kutoa ushauri kuhusu masuala yanayohusiana na utambuzi na uwekaji lami wa barabara mpya;

• Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na kanuni kwenye barabara za lami;

• Kutengeneza barabara mpya katika ardhi iliyopimwa;

• Kuandaa mikataba ya uwekaji lami wa barabara mpya;

• Kutayarisha makadirio ya gharama za kuweka lami barabara;

• Kufuatilia utendaji wa wakandarasi;

• Kutoa hati kwa wakandarasi kwa kazi zilizokamilika kulingana na mikataba;

• Kuchambua na kutoa mapendekezo ya madai ya malipo kutoka kwa wakandarasi;

• Kukagua barabara za lami ili kuhakikisha ubora; na

• Kusimamia ujenzi na matengenezo ya vituo vya mabasi.


Sehemu ya Maendeleo Vijijini na Mijini

Sehemu hii itafanya shughuli zifuatazo:-

• Kusimamia maendeleo ya makazi vijijini na mijini kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;

• Kusimamia huduma za kimazingira na kijamii;

• Kuongoza mipango ya maendeleo ya miji, makazi na matumizi endelevu ya ardhi;

• Kusimamia na kuratibu usimamizi wa mambo ya kale na utalii;

• Kusimamia mchakato wa ukuaji wa miji kwa kushirikiana na Wizara yenye dhamana ya ardhi;

• Kuratibu na kukuza maendeleo ya miji inayochipukia kutoka vijiji hadi makazi ya mijini; na

• Kushiriki katika kuwezesha utatuzi wa migogoro ya matumizi ya ardhi.

Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.