• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe

Lengo
Kutoa huduma bora za afya, ustawi wa jamii na lishe kwa ustawi wa jamii. 
Majukumu ya Divisheni hii itafanya kazi zifuatazo:-
• Kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na taratibu za utoaji wa huduma za afya, ustawi wa jamii na lishe;
• Kuandaa mipango na programu za muda mfupi na mrefu za sekta ya afya katika Halmashauri;
• Kukuza ushiriki wa wadau mbalimbali katika shughuli za afya, ustawi wa jamii na lishe;
• Kutayarisha na kuwasilisha taarifa za huduma za afya, ustawi wa jamii na lishe kwa mamlaka husika;
• Kuandaa mikakati ya udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza na yasiyoambukiza;
• Kusimamia miradi ya afya, ustawi wa jamii na lishe; na
• Kusimamia kanzidata ya masuala ya afya, ustawi wa jamii na huduma za lishe.


Idara ina Sehemu tatu (3) kama ifuatavyo:-
• Sehemu ya Huduma za Afya;
• Sehemu ya Ustawi wa Jamii; na
• Sehemu ya Huduma za Lishe.




Sehemu ya Huduma za Afya
Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-
• Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa Sera, Sheria, na Taratibu za huduma za afya;
• Kushauri kuhusu uratibu na kujenga uwezo wa huduma za afya;
• Kuandaa mipango na programu za muda mfupi na mrefu za huduma za afya;
• Kutoa ushauri wa kitaalamu kwa wadau kuhusu masuala ya huduma za afya; na
• Kufanya ufuatiliaji na tathmini ya magonjwa ya mlipuko, kuzuia magonjwa yasiyoambukiza, ya kuambukiza na ibuka katika vituo vyote, jamii na sehemu za kuingilia.


Sehemu ya Ustawi wa Jamii
Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-
• Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na taratibu za uboreshaji wa ustawi wa jamii;
• Kuandaa mipango na miradi ya muda mfupi na mrefu ya Ustawi wa Jamii;
• Kusimamia utekelezaji wa mipango na miradi ya ustawi wa jamii;
• Kuratibu na kusimamia miradi yote inayohusu Ustawi wa Jamii; na
• Kutayarisha taarifa zinazohusiana na ustawi wa jamii.


Sehemu ya Huduma za Lishe
Sehemu hii inafanya shughuli zifuatazo:-
• Kuchambua, kutafsiri na kusimamia utekelezaji wa sera, sheria na taratibu za uboreshaji lishe;
• Kuandaa mipango na miradi ya muda mfupi na mrefu ya lishe;
• Kusimamia utekelezaji wa mipango na miradi ya lishe;
• Kuratibu na kusimamia miradi yote inayohusu lishe;
• Kutayarisha taarifa zinazohusiana na lishe ya jamii;
• Kuhamasisha jamii kuhusu masuala ya lishe;
• Kufuatilia na kutathmini utoaji wa huduma za lishe katika Halmashauri;
• Kukusanya na kuchambua taarifa za huduma za lishe; na
• Kutoa huduma za lishe kwa watoto, watu wazima na watu wenye mahitaji maalum.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI WA MAHOJIANO March 02, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Rc ataka ushirikiano kwa wanawake Simiyu uendelee

    March 09, 2023
  • Walimu Wakuu, Maafisa Elimu Kata na Wenyeviti wa Kamati wapata mafunzo

    March 06, 2023
  • MUAC kutambua watoto wenye matatizo ya lishe

    March 04, 2023
  • DC asisitiza wakulima wote wapatiwe mabomba

    March 03, 2023
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.