• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DED MTIPA AKABIDHI KOMPYUTA 2 KWA WALIMU WENYE MAHITAJI MAALUMU

Posted on: February 2nd, 2026

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg Maisha. S. Mtipa  leo tarehe 02.02.2026 amekabidhi vifaa saidizi vya kidigitali kompyuta mbili( Laptops ) kwa walimu wenye mahitaji maalumu kwa lengo la kurahisisha ufundishaji kwa walimu hao.

Vifaa hivyo  vimetolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambapo  Walimu walionufaika na vifaa hivyo ni Mwalimu John Lucas Ketegwe kutoka Shule ya Sekondari ya wasichana Maswa pamoja na Mwalimu Mzee Luchagula kutoka Shule ya Sekondari Binza.

Akizungumza  wakati wa kukabidhi vifaa hivyo Mkurugenzi Mtendaji ameishukuru serikali ya awamu ya sita ya Dk.t Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa kutoa vifaa  kwa walimu hao ili viweze  kuboresha shughuli za kazi zao.

Aidha Ndg. Mtipa ametoa wito kwa Afisa Mipango, Afisa Elimu Sekondari na  Afisa Elimu Msingi kuwabaini walimu wote wenye mahitaji maalumu ili watengewe bajeti kwa lengo la kuwasadia kununua vyombo vya usafiri kwa lengo la  kufika kazini kwa wakati na kufanya kazi ili waone ni kwa namna gani serikali inathamini mchango wao.

“Tunaishukuru serikali lakini serikali ndio sisi na tunatakiwa tuweke mipango kwa hiyo tunatakiwa tufanye katika  mipango yetu ya bajeti  tuweke kipaumbele kwa ajili yao, niwapongeze sana walimu hivyo vifaa mlivyovipata mkavitumie katika kazi zenu kwa kuwa serikali imeona umuhimu wa kuwapa vifaa na nyinyi mkaisemee serikali”. Amesema Mkurugenzi Mtendaji

Nao Walimu wameishukuru serikali, Mkurugenzi Mtendaji, Viongozi wa Mkoa na Wilaya, Idara ya Elimu sekondari kwa kuendelea kuwajali na kuhakikisha wanapata mazingira mazuri ya kutekeleza majukumu yao  ya kila siku kwa kuwa bega kwa bega kutatua changamoto  zao na pia wamemuomba  Mkurugenzi Mtendaji kuharakisha mpango wa usafiri ili kuwasaidia kufika kazini kwa wakati hasahasa kipindi cha mvua. 

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg Maisha. S. Mtipa  leo tarehe 02.02.2026 amekabidhi vifaa saidizi vya kidigitali kompyuta mbili( Laptops ) kwa walimu wenye mahitaji maalumu kwa lengo la kurahisisha ufundishaji kwa walimu hao.

Vifaa hivyo  vimetolewa na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia ambapo  Walimu walionufaika na vifaa hivyo ni Mwalimu John Lucas Ketegwe kutoka Shule ya Sekondari ya wasichana Maswa pamoja na Mwalimu Mzee Luchagula kutoka Shule ya Sekondari Binza.

Akizungumza  wakati wa kukabidhi vifaa hivyo Mkurugenzi Mtendaji ameishukuru serikali ya awamu ya sita ya Dk.t Samia Suluhu Hassan kwa kuona umuhimu wa kutoa vifaa  kwa walimu hao ili viweze  kuboresha shughuli za kazi zao.

Aidha Ndg. Mtipa ametoa wito kwa Afisa Mipango, Afisa Elimu Sekondari na  Afisa Elimu Msingi kuwabaini walimu wote wenye mahitaji maalumu ili watengewe bajeti kwa lengo la kuwasadia kununua vyombo vya usafiri kwa lengo la  kufika kazini kwa wakati na kufanya kazi ili waone ni kwa namna gani serikali inathamini mchango wao.

“Tunaishukuru serikali lakini serikali ndio sisi na tunatakiwa tuweke mipango kwa hiyo tunatakiwa tufanye katika  mipango yetu ya bajeti  tuweke kipaumbele kwa ajili yao, niwapongeze sana walimu hivyo vifaa mlivyovipata mkavitumie katika kazi zenu kwa kuwa serikali imeona umuhimu wa kuwapa vifaa na nyinyi mkaisemee serikali”. Amesema Mkurugenzi Mtendaji

Nao Walimu wameishukuru serikali, Mkurugenzi Mtendaji, Viongozi wa Mkoa na Wilaya, Idara ya Elimu sekondari kwa kuendelea kuwajali na kuhakikisha wanapata mazingira mazuri ya kutekeleza majukumu yao  ya kila siku kwa kuwa bega kwa bega kutatua changamoto  zao na pia wamemuomba  Mkurugenzi Mtendaji kuharakisha mpango wa usafiri ili kuwasaidia kufika kazini kwa wakati hasahasa kipindi cha mvua. 

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. Maisha Seleman Mtipa (Kulia) akimkabidhi "Laptop" Mwl. Mzee Luchagula

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. Maisha Seleman Mtipa (kulia) akimkabidhi "Laptop" Mwl. John Lucas Ketegwe


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 24, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • DED MTIPA AKABIDHI KOMPYUTA 2 KWA WALIMU WENYE MAHITAJI MAALUMU

    February 02, 2026
  • Uzinduzi wa Baraza Jipya la Madiwani Maswa

    December 02, 2025
  • Uzinduzi wa Jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    November 10, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Maswa akabidhi vitendea kazi kwa Watumishi

    September 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.