• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Uzinduzi wa Jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Posted on: November 10th, 2025

Leo tarehe 10/11/2025 umefanyika uzinduzi wa jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa lenye ghorofa moja. Shughuli hiyo imeongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Vicent Naano Anney kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg; Maisha Seleman Mtipa. Katika shughuli hiyo wameshiriki wadau mbalimbali wakiwemo Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya ya Maswa, Timu ya Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa, Viongozi wa Dini, Watumishi wa Halmashauri, Viongozi wa Tiba Asili, Wazee maarufu, Viongozi wa Serikali, Viongozi wa vyama vya siasa na wageni mbalimbali waalikwa.

Ili kuanza kazi Viongozi wa Dini wameombea Amani na kisha kuwashauri watumishi wafanye kazi kwa Weledi na Amani.

Akitoa taarifa ya Utekelezaji Afisa Mipango Wilaya Ndg; Julius Ikongora John amesema mradi ulianza utekeleza mnamo tarehe 23/09/2023 na unatarajiwa kukamilika tarehe 30/12/2025. Aidha fedha zilizopokelewa zilizopokelewa kwa ajili ya mradi huu ni Tsh. 3,300,000,000/= na mradi hadi sasa umefikia Zaidi ya asilimia 90 ya utekelezaji.

Mgeni rasmi yaani Mkuu wa Wilaya ya Maswa akiongea na hadhara, ameiongeza Kamati ya Ulinzi na Usalama, Mkurugenzi Mtendaji, Timu ya Menejimenti na Watumishi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa usimamizi mzuri na kufanikisha ujenzi wa jengo hili. Amehimiza mshikamano kwa watu wote ili kazi zifanyike kwa amani na uadilifu. Pia amewaomba wafanyabiashara kutumia fursa iliyopo kuendeleza maeneo yaliyopo katika Ofisi hii ili huduma na mahitaji mhimu yapatikane.

Zoezi la uzinduzi limeambatana na upandaji wa miti katika eneo la Ofisi hii.

     

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI September 24, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Uzinduzi wa Jengo la Ofisi za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    November 10, 2025
  • Mkuu wa Wilaya ya Maswa akabidhi vitendea kazi kwa Watumishi

    September 26, 2025
  • DC Anney, azindua chanjo ya Mifugo wilayani Maswa

    August 30, 2025
  • Usawa wa kijinsia jinsi unavyoathiri upatikanaji wa huduma za Afya ya uzazi na Ujinsia miongoni mwa Vijana Balehe

    August 06, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.