Posted on: March 14th, 2018
Wananchi Wilayani Maswa wamejitokeza kwa wingi kuitikia zoezi la uandikishaji na kupata vyeti vya watoto wenye umri wa chini ya miaka mitano lillilo anz leo katika vituo 80 yaani katika Ofisi za Kata ...
Posted on: March 12th, 2018
Leo tarehe 12/3/2018 kulikuwa kikao cha Wadau wa elimu Wilayani Maswa ambacho Mgeni rasmi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka. Kikao hicho kimejumuisha Waheshimiwa Madiwani, Walimu Wakuu...
Posted on: January 31st, 2018
Jana tarehe 30/1/2017 Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe: Anthony J. Mtaka alitembelea na kukagua mashamba mawili ya Pamba katika kijiji cha Buyubi Wilayani Maswa. Katika ziara hiyo alipokea changamoto za upu...