Posted on: April 20th, 2021
Kamati ya Fedha Utawala na Mipango (FUM) ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa imefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo Wilayani hapa. Katika ziara hiyo wameweza kupitia Miradi ya Ukamilishaji wa uje...
Posted on: February 24th, 2021
Sherehe ya pongezi kwa Walimu wa shule za Msingi na Sekondari Wilayani Maswa iliyofanyika leo eneo la Lalago imefana sana. Mgeni Rasmi alikuwa Afisa Elimu Sekondari Wilaya ya Maswa aliye muwakilisha M...
Posted on: February 23rd, 2021
Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Bi. Miriam Mbaga ametembelea Wilaya ya Maswa leo. Amefika kuona shughuli zinazoendelea, kukutana na Watumishi wa Umma na Viongozi mbalimbali katika Tarafa.
Ametambelea ...