• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAKULIMA WA PAMBA MASWA WANUFAIKA NA ELIMU YA UPULIZIAJI DAWA

Posted on: February 26th, 2022

Pamba ni nyuzi nyeupe na laini zinazotokana na tunda la mpamba, upekee huu wa pamba umeisukuma wto shirikisho la biashara duniani kutenga siku maalum ya kuadhimisha na kuonyesha namna ambavyo zao hilo linagusa maisha ya wananchi ya kila siku katika kujikimu. Zaidi ya aslimia 40 ya Watanzania hutegemea zao la pamba kiuchumi.

Tafiti zinaonyesha kuwa zao  la pamba linashambuliwa na wadudu aina ya funza wa vitumba, chawajani, kalidea n.k  ambao wakiachwa bila kudhibitiwa husababisha hasara zaidi ya mavuno yote.

Katika nchi ya tanzania mikoa 17 inalima zao hilo la pamba ikiwemo Simiyu mikakati madhubuti  imechukuliwa na serilkali kupitia Bodi ya Pamba Tanzania kuhakikisha kuwa zao hilo linakuwa salama na linaleta tija kwa wakulima.

Bodi ya Pamba Tanzania kupitia kwa Balozi wake Mh. Agrey Mwanri imeanzisha “campaign” maalum ya kuhamasisha wakulima na kutoa elimu ya namna bora ya kupulizia pamba ili kudhibiti wadudu hao ambao wamekuwa tishio kwa wakulima.

Akiwa mkoani Simiyu  wilaya ya Maswa Mh.  Mwanri ametembelea kata nane (8) na vijiji kumi na tano (15) kuelimisha wakulima wa pamba jinsi ya kupulizia na kuchanganya dawa kwa kufuata taratibu ili kunusuru zao hilo lisiendelee kuathirika.

Mh. Balozi amewataka wakulima hao kutumia viwatilishi ambavyo  vinatolewa na amcos ambavyo ni  Tegata, Mo strong, Cynofos 550plus ec na Eakil 13sc kupulizia katika mashamba yao ili pamba zao zisishambuliwe na wadudu.

Kwa upande wake Mkuu Wa Wilaya ya Maswa  Mh. Aswege Kaminyoge  amempongeza Mh. Balozi kwa kutoa elimu hiyo kwa wakulima wa Maswa na kuwaagiza watendaji wote kuanzia  ngazi ya kijiji, kata, maafisa ugani na watendaji wote  wa serikali kusimamia kwa ukaribu zao hilo kwa kuendelea kuwaelimisha wakulima jinsi ya kupulizia dawa, ufatiliaji wa palizi na kupunguzia mimea kwenye mashamba. Lengo likiwa  ni mkulima katika wilaya ya Maswa kuzalisha pamba  kwa tija ili aweze kupata kuanzia kilo 600 mpaka 2500 kwa heka ili kukuza uchumi na kuwahakikishia wakulima kuwa viwatilifu vitaanza kugawiwa pamoja na pampu.

Pia wakulima wamemshukuru Balozi wa pamba kwa elimu aliyoitoa na wameahidi kuitumia vizuri na kupongeza technologia mpya ambayo wamejifunza ya kutumia pampu mpakato yenye uwezo wa kunyunyuzia heka nne  tofauti na ile ya lita 16  ambayo ilikuwa inachukua  muda mrefu.

Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.