• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAZIRI AWESO AZINDUA SHULE MPYA YA SEKONDARI DAKAMA

Posted on: October 28th, 2024

Waziri wa Maji Jumaa Aweso amewataka wanafunzi wa shule ya sekondari Dakama kusoma kwa bidii kwa kuwa serikali ya Dkt Samia Suluhu Hassan imejenga miundombinu bora ya kujifunzia.

Waziri Aweso ametoa  ujumbe kwa wanafunzi wa Maswa wenye kauli mbiu isemayo "Acha nisome, Maswa inanitegemea"  wenye lengo la kuwahamasisha kusoma kwa bidii ili kufikia malengo yao.

Waziri Aweso amesema hayo wakati akizindua shule mpya ya Dakama yenye thamani ya kiasi cha shilingi milioni 584 pamoja na kuongea na wananchi wa Kata ya Dakama Wilayani Maswa tarehe 27 Oktoba 2024.

Pia Waziri ametoa wito kwa wanafunzi kusoma kwa bidii, kuwaheshimu walimu wanaowafundisha pamoja na kusikiliza ushauri, maelekezo na mafunzo yanayotolewa na walimu hao ili waweze kufanikiwa katika Maisha yao.

"Kupitia Elimu mtoto wa mama ntilie anaweza kuwa Daktari bigwa katika Taifa hili, kupitia Elimu mtoto wa mfugaji anaweza kuwa Dkt Samia Suluhu Hassan kutoka hapa Dakama, naomba msome hakuna kisingizio kwa kuwa sasa Elimu ni Bure kabisa." amesema Waziri Aweso

Aidha Waziri Aweso amewapongeza Mkuu wa Wilaya ya Maswa, Kamati ya Uinzi na Usalama ya Wilaya pamoja na Chama Cha Mapinduzi kwa ushirikiano katika utekelezaji wa miradi hiyo.

Pia  Waziri Aweso ametoa pongezi kwa Mhe mbunge wa Maswa mashariki pamoja na Diwani wa Kata ya Dakama kwa kupambania mradi huo kufika katika Kata hiyo kwa ajili ya kuwahudumia watoto wa Kata hiyo.

Sambamba na hilo Waziri Aweso amesema serikali imetoa kiasi cha shs milioni 100 kwa ajili ya ujenzi wa nyumba ya Mwalimu katika shule ya sekondari Dakama.

Pia Waziri Aweso ametoa wito kwa wananchi kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024 ili kupata viongozi ambao watafanya kazi ya kupeleka maendeleo katika maeneo yao.








Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.