Idara ya maji ni moja kati ya Idara 13 za Halmashauri ya Wilaya ya Maswa.
Idara hii inafanya usimamizi na mipango yote ya utoaji wa huduma ya maji kwa wananchi kwa kuzingatia misingi muhimu ifuatayo.
Vyanzo vya Maji
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa inahudumia Wananchi maji kutoka kwenye vyanzo vya maji ambavyo ni Bwawa la Zanzui, chemichemi na visima virefu & vifupi.
Hali ya mazingira ya vyanzo vya maji bado ni ya kuridhisha kwani vyanzo vyote bado vinaendelea kutoa maji japokuwa kuna changamoto ya kupungua kwa baadhi ya vyanzo kulingana na mabadiliko ya hali ya hewa na tabia ya nchi.
Shughuli za Idara
Shughuli kuu zinazofanywa na Idara ni kutoa huduma ya Ushauri wa kitaalamu juu ya matumizi ya Maji, kuunda na kusimamia jumuiya za watumiaji Maji (COWSOs katika nyanja zifuatazo:-
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Sanduku la Posta: 170, MASWA
simu ya Mkononi: +255 282 750 271
Simu: +255 282 750 271
Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz
Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.