• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mali asili
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Ziara ya Timu ya Menejimenti Maswa

Posted on: April 11th, 2022

Timu ya Menejiment ya Halmashauri ya Wilaya ya Maswa (CMT) imefanya ukaguzi wa miradi mbalimbali ya maendeleo inayotekelezwa wilayani ili kujionea hali halisi ya utekelezaji na changamoto zinazoikabili miradi hiyo. Miradi hiyo ni kama ifuatavyo:-

A: UJENZI WA SHULE MPYA KATA YA NYALIKUNGU

Mradi huu unatekelezwa katika eneo la Ng’hami Kata ya Nyalikungu. Mradi huu unajumuisha ujenzi wa vyumva 8 vya madarasa, Maabara 3, Jengo la Utawala, Jengo 1 la Maktaba, Jengo la Kompyuta pamoja na vyoo matundu 20.

B: UJENZI WA ZAHANATI KATIKA KIJIJI CHA IWELIMO

Mradi huu unatekelezwa katika Kata ya MWAMANENGE Kijiji cha IWELIMO.

C: UKAMILISHAJI WA VYUMBA 2 VYA MAABARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI SENANI

Mradi huu unatekelezwa katika Kata ya SENANI Kijiji cha MBUGAMITA.

D: UKAMILISHAJI WA VYUMBA 2 VYA MAABARA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MWANDETE

Mradi huu unatekelezwa katika Kata ya SANGAMWALUGESHA Kijiji cha MWANDETE.

E: UKAMILISHAJI WA VYUMBA 3 VYA MADARASA KATIKA SHULE YA SEKONDARI MWAGALA

Mradi huu upo katika Kata ya LALAGO Kijiji cha LALAGO.

F: UKAMILISHAJI WA ZAHANATI KATIKA KIJIJI CHA MWANG’ANDA

Mradi huu upo katika Kata ya KADOTO Kijiji cha MWANG’ANDA.

G: UJENZI WA SHULE MPYA YA MSINGI NG’HUNGU

Mradi huu upo katika Kata ya MATABA Kijiji cha LALI.

H: UJENZI WA SHULE MPYA YA SEKONDARI KATA YA BADI

Mradi huu upo katika Kata ya BADI Kijiji cha JIHU

I: UJENZI WA KITUO CHA AFYA KATA YA BADI

Mradi huu upo katika Kata ya  BADI Kijiji cha MUHIDA.

J: UJENZI WA SHULE YA SEKONDARI KATIKA KIJIJI CHA SAYUSAYU

Shule ya sekondari sayusayu inajengwa katika Kata ya Buchambi  kijiji cha Sayusayu. Aidha sekondari hii imejengwa kwa nguvu za wananchi hadi kufikia lenta na baadaye kupewa fedha za mfuko wa jimbo kwa ajili ya kupaua.


Matangazo

  • Tangazo la kuitwa kwenye usaili May 20, 2022
  • TANGAZO LA KAZI YA MKATABA March 24, 2022
  • TANZGAZO LA NAFASI YA KAZI March 26, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI April 08, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mratibu wa Sensa Wilaya atoa mafunzo kwa Kamati za sensa

    May 16, 2022
  • Mratibu wa Sensa Wilaya atoa mafunzo kwa Kamati za sensa

    May 16, 2022
  • Madiwani waipongeza Serikali kwa kutoa mabilioni Maswa

    May 12, 2022
  • Kamati yaridhishwa na miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Wilaya ya Maswa

    April 21, 2022
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.