• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Waziri wa Viwanda azuru Maswa

Posted on: June 30th, 2020

Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Innocent Bashungwa ametembelea Miradi ya kimkakati ya ujenzi wa Kiwanda cha chaki na kiwanda cha Vifungashio vilivyoko eneo la Ng'hami. Pamoja na kutembelea miradi ya kimkakati amefanikiwa kukagua na kuona utekelezaji wa kiwanda cha Unga Lishe kilichoko katika kijiji cha Njiapanda Kata ya Isanga.

Ameushukuru uongozi wa Mkoa wa Simiyu chini ya Mhe. Anthony Mtaka Mkuu wa Mkoa na Jumanne Sagini Katibu Tawala wa Mkoa kuanzisha mkakati wa Wilaya moja bidhaa moja na hatimaye Wilaya zake kuanza utekelezaji. Ametoa pongezi za pekee kwa uongozi wa Wilaya ya Maswa kwa kutenga eneo maalum kwa ajili ya Viwanda. Pia ametoa pongezi kwa Wah. Wabunge na Madiwani kwa ushirikiano wao kuhusu kuendesha gurudumu vema na hatimaye kutekeleza hazima ya Serikali ya uchumi wa Viwanda.

Ameishauri Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kuwasiliana na TILDO kuhusu suala la zima la kutumia bidhaa chakavu za plastiki kutengeneza nyingine ili kusaidia kuendeleza viwanda vyetu.

Amemtaka Mkandarasi ( SUMA JKT) kazi ifanyike haraka ili kiwanda kianze kazi mapema. Mkandarasi amesema vifaa vimegizwa mara vitakavyowasili ndani ya Wiki tatu atakuwa amekamilisha kazi ya ujenzi.

Kutokana na udhubutu wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kutekeleza hazima ya Ujenzi wa Viwanda, Mhe. Bashungwa amesema "Nitakavyokuwa ninaongea Wilaya moja bidhaa moja, Wilaya ya Maswa itakuwa mfano kwa ujenzi wa Viwanda".

Aidha amejifunza kutoka Maswa, huko jimboni kwake Karagwe kuna zao kubwa la migomba wanavuna ndizi na kutengeneza pombe aina ya Lubisi ili mwakani waanze wao pia Wilaya moja bidhaa moja.

Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.