• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATUMISHI 4585 WAPANDISHWA MADARAJA MKOANI SIMIYU

Posted on: May 2nd, 2024

Kaimu Mkuu Wa Mkoa Wa Simiyu Mhe Anna Kidarya ameishukuru serikali kwa kupandisha madaraja  na vyeo  kwa watumishi katika mwaka wa fedha 2022|2023 ambapo watumishi waliopandishwa walikuwa 4585 Mkoani Simiyu.

“sisi wafanyakazi wa Mkoa wa Simiyu tunampongeza Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri anayoifanya katika kumuunga mkono sisi watumishi, viongozi wa serikali na umma kwa ujumla tunalo jukumu kubwa la kutatua kero mbalimbali za wananchi na watumishi zilizopo ndani ya uwezo wetu” Mhe Gidarya

 Mhe Gidarya ameeleza hayo katika maadhimisho ya sikukuu ya wafanyakazi duniani MeiMosi yaliyofanyika tarehe 01 Mei 2024 katika uwanja wa CCM Bariadi Mji Mkoani Simiyu yenye kauli mbiu “Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na Kinga ya Hali Ngumu ya Maisha”

Halmashauri zetu zinaendeshwa na mapato ya ndani kwa asilimia 80%, asilimia 20%  tunategemea fedha za kutoka serikali kuu na wafadhiri twendeni tukaboreshe mapato ili tuweze kuondoa hizi changamoto ambazo ni za uwezo wa halmashauri zetu tukakusanye mapato tuhakikishe kwamba mapato haya yanawekwa katika mfumo ulioelekezwa kisheria ili sasa na sisi tuone mafanikio na halmashauri zetu.

kupitia maadhimisho hayo ya siku ya meimosi Mhe Gidarya ametoa maagizo kwa wakurugenzi kuhakikisha wanawalipa watumishi stahiki zao, ofisi ya utumishi kutoa huduma nzuri pamoja na watumishi kuepukana na mikopo umiza ambayo inasababisha kutokutimiza majukumu yao.

 Pia Kaimu Mkuu wa Mkoa amewataka Wakuu wa Wilaya kuwa walezi katika wilaya ili kuleta ustawi kwa watumishi wote kuanzia ngazi ya chini na kutatua changamoto za watumishi ili kuboresha huduma katika mkoa wa simiyu.

Nae Katibu Tawala Mkoa wa Simiyu Ndg. Prisca Kayombo amewataka watumishi wa mkoa wa Simiyu kufanya kazi kwa kufata sheria, kanuni na taratibu zilizopo katika sehemu za kazi kwa kuwa  jukumu kubwa la mwajiri kwa mwajiriwa ni kumpatia maslahi bora.

Pia Katibu Tawala amesema Mhe Rais pia ameendelea kuboresha mazingira rafiki ya kufanyia kazi kwa kuweka miundombinu mizuri ya kufanyia kazi ikiwepo magari, madarasa, ofisi na vifaa vya TEHAMA pamoja na kuendelea kutatua changamoto mbalimbali ambazo zinawakabili watumishi.

Katika maadhimisho hayo Kaimu Mkuu wa Mkoa alikabidhi zawadi mbalimbai na vyeti kwa wafanyakazi bora kutoka katika taasisi mbalimbali za Mkoa wa Simiyu.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.