• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Wananchi Maswa wahamasishwa matumizi ya lishe bora

Posted on: February 15th, 2023

Afisa mbogamboga na matunda kutoka Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg.  Masalu Shibiliti Lusana ametoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi sahihi ya lishe bora  ili kuepukana na magonjwa.

Akizungumza na wananchi katika mkutano huo uliofanyika tarehe 14 February 2023 katika viwanja vya mnadani vilivyopo Kitongoji cha Mnadani Kata ya Nyalikungu  Ndg. Shibiliti amewaeleza wananchi  umuhimu wa matumizi ya mbogamboga, matunda, viazi lishe na mahindi lishe jinsi ambavyo inasaidia kinga ya mwili, kuongeza uono na kutokuzeeka mapema kwa kuwa  vyakula hivyo vina viini lishe na virutubisho ambavyo havipatikani sehemu nyingine.

Pia Afisa mbogambonga amewaomba wanachi kulima mbogamboga  mfano mchicha, kunde, chainizi na matunda ya asili kama vile limbe, machungwa, mapapai na ukwaju ambapo mwananchi mwenyewe anaweza kulima nyumbani kwake kwa kuwa itamsaidia kuepukana na matumizi ya mboga ambazo zimelimwa na  kupuliziwa viuatilifu ambavyo vinachangia kwa kiasi kikubwa magonjwa.

Ndg. Shibiliti amewasisitiza wananchi kulima malando lishe  kwa kuwa ni lando linalokomaa haraka, Lina mavuno mengi  ya viazi vya njano ambavyo vina virutubisho vingi pamoja na mahindi lishe ambayo yana kiini tete Cha njano ambacho ni muhimu kwa wazee kujenga kinga ya mwili.

Nae Afisa udongo kutoka Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi  kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. Charles Maganga amewahakikishia wananchi hao udongo wa maeneo yao ni mzuri kwa kilimo Cha mbogamboga, matunda pamoja na viazi lishe hivyo wananchi hao wanatakiwa kulima maana tafiti zilishafanyika na kuonyesha matokeo mazuri hasa katika viazi lishe ambavyo vimefanya vizuri katika Kata ya Shishiyu.

Kwa upande wake mtaalamu wa  Mifugo Kata ya Nyalikungu Ana  amewashauri wananchi kutumia nyama nyeupe ambazo ni kuku, samaki na dagaa kwa kuwa ina virutubisho vizuri ambavyo vitasaidia kuukinga mwili na magonjwa mbalimbali kama vile kansa na magonjwa mengine.

Nae mwenyekiti wa kitongoji cha mnadani amewashukuru wataalamu  wa lishe kwa kuwapatia elimu hiyo na wameahidi kuitekeleza kwa vitendo kwa kuwa mabalozi wazuri katika maeneo yao  kwa  kuandaa mashamba darasa ili wananchi wapate elimu hiyo kwa vitendo na kuepukana na ulaji mbovu wa vyakula usiofata lishe Bora.


Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.