• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Walimu Wakuu, Maafisa Elimu Kata na Wenyeviti wa Kamati wapata mafunzo

Posted on: March 6th, 2023

Walimu Wakuu, Maafisa Elimu Kata na Wenyeviti wa Kamati za shule katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wameanza mafunzo ya siku tatu yenye lengo la kushirikisha wazazi katika kuboresha utoaji wa elimu bora jumuishi na salama kwa watoto wote.

Mafunzo hayo yameandaliwa na mradi wa shule bora unaofadhiliwa na serikali ya Uingereza kupitia mfuko wa UK Aid kwa lengo la kuwajegea uwezo washiriki kwa ajili ya kuimarisha shughuli za UWaWa.

Akizungumza wakati wa kufungua mafunzo hayo ya UWaWa yaliyoanza Leo tarehe 6 march 2023  Katibu Msaidizi wa TSC Masenyi  Kisika amesema mafunzo hayo yatahusisha wazazi kwa sababu mwalimu wa kwanza wa mtoto ni mzazi wake nyumbani hivyo amewataka walimu wakuu, maafisa elimu kata na wazazi kushirikiana ili kuhakikisha watoto hao wanakuwa katika hali nzuri ya kitaaluma.

Pia ameongeza kuwa wenyeviti wa kamati za shule ndio wawakilishi wa wazazi shuleni hivyo elimu watakayoipata katika mafunzo hayo wakaieneze vema kwa wazazi wengine ili kuhakikisha watoto wanapata mahitaji ya muhimu.

Aidha, amesisitiza kuwa mwalimu mkuu ndio meneja wa shule kwa hiyo ni wajibu wake kuhakikisha kuwa mambo yote yanaenda vizuri katika shule yake, pia Afisa Elimu Kata ndio msimamizi mkuu wa taaluma katika Kata, msimamizi wa wazazi kwa hiyo ushirikiano baina ya wazazi utakuwa mzuri na utazalisha mazao mazuri kwa watoto.

“Ni mategemeo yangu  kwamba  baada ya mafunzo haya kutakuwa na mabadiliko sana katika shule zetu kwa sababu wote mnaohusika yaani figure zote zinazoshughulika na suala la mtoto mzazi, mwalimu mratibu elimu kata wote mko hapa. Baada ya hapa tunategemea kuwa na zao zuri, tunategemea kunyanyuka kitaaluma, tunataka tupate watoto ambao baadae watalisaidia taifa letu” Amesema  Kisika

Awali akitoa taarifa Afisa elimu taaluma msingi wa Wilaya ya  Maswa  ambaye pia ni mratibu wa mradi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. Neema Makundi  amesema mafunzo hayo yatafanyika siku tatu kwa Kata zote kwa awamu tatu ambapo awamu ya kwanza imehusiha Kata 12 ambazo ni Ipililo, Jija, Mataba, Budekwa, Mwabaraturu, Senani, Dakama, Isanga, Sangamwalugesha, Masela, Mpindo na Shishiyu.

Mafunzo hayo yameanza kwa wakufunzi kutoa mazoezi katika makundi kuona matokeo ya darasa la saba na la nne yalivyokuwa katika shule zao kwa kila Kata ili kuona mbinu, changamoto na namna ambavyo wazazi wameshiriki katika kusaidia ufaulu wa watoto wao.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.