• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Ufungaji wa Kambi la kitaaluma la wanafunzi wa Kidato cha Sita Mkoa wa Simiyu

Posted on: April 13th, 2018

Kambi maalumu la kitaaluma  kwa wanafunzi wa kidato cha sita wanaosoma katika shule za sekondari mkoani Simiyu lililoanza hapo tarehe 3/4/2018 limelimefungwa rasmi leo terehe 13/4/2018. Kambi hili limefungwa na MKuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Anthony Mtaka akiambatana na wadau mbalimbali wa elimu wa mkoani Simiyu.

Akifunga kambi hiyo katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Maswa wilayani Maswa, Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe.Anthony Mtaka amesema ili mkoa huu uweze kushindana na kufanya mageuzi katika Uchumi ni lazima kuwekeza katika elimu.

Ametumia fursa hiyo kuwashukuru wadau mbalimbali wa elimu walioweza kufanikisha ufanisi wa kambihilo kwa michango yao mbalimbali, amewaomba waendelee kuwa moyo huo kwani unaleta chachu ya maendeleo katika jamii zetu, mkoa wetu na nchi kwa ujumla.

Ametoa zawadi ya vyeti vya kutambua mchango wa wadau waliofanikisha kufanyika kambi hilo. Walimu mahiri nao amewapa zawadi ya vyeti kutambua juhudi na mchango wao wa kuwaweka sawa Wanafunzi hao.

Kupitia ofisi yake ametoa ahadi mbalimbali kutokana na ufaulu utakaopatikana kwenye mtihani unaotarajiwa kufanyika mwezi ujao; Mwanafunzi atakayeingia 10 bora kitaifa atapata shilingi milioni mbili, Shule itayoingia 10 bora kitaifa itapata shilingi milioni tano, Mwalimu ambaye mwanafunzi wake atapa alama A kwenye somo lake atapata shilingi laki mbili. Aidha wadau mbalimbali pia wametoa ahadi kwa watakaofau vizuri; Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mhe. Festo Kiswaga amehaidi kwa Mwanafunzi atakayeongoza kwa kupata daraja I la pointi 3 atampa shilingi laki tano, Bw. Gungu mfanya bihashara mashuhuri Wilayani Bariadi ameahidi Mwanafunzi atakayeongoza mkoani Simiyu atampa Laptop na tiketi ya kwenda na kurudi chuo takapokuwa amechaguliwa na shule itakayoongoza itapewa shilingi milioni mbili.  

Kutokana na mafanikio ya kambi hili ametangaza kutakuwepo na kambi la kidato cha nne na darasa la saba miezi ijayo mwaka huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.