• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Rc ataka ushirikiano kwa wanawake Simiyu uendelee

Posted on: March 9th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. Dkt Yahaya Nawanda amewapongeza wanawake kwa kazi wanayoifanya katika nyanja mbalimbali  kwa kushirikiana na kupendana ili kukuza maendeleo ya wananchi wa Mkoa wa Simiyu.

Mhe Dkt Nawanda amesema hayo wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambayo katika Mkoa wa Simiyu yaliadhimishwa wilayani Meatu na kuhudhuliwa na viongozi mbalimbali wa Mkoa na Wilaya zote.

Mkuu wa mkoa amesema maadhimisho hayo hufanyika kwa lengo la kutathmini sera, mipango kwa kuweka usawa wa kijinsia na kuwawezesha wanawake pamoja na kuwajengea uwezo wa kufanya vizuri katika tasnia mbalimbali kiuchumi, kisiasa na kijamii.

Mhe. Dkt Nawanda amesema serikali inatambua mchango wa kina mama ambapo serikali ya  Mkoa wa Simiyu imetenga shilingi milioni 579  fedha kutoka mapato ya ndani kwa mwaka 2021/2022 ambazo zimetolewa kwa vikundi vya kinamama 133. Pia Mhe Dkt Samia Suluhu Hasan ametoa fedha kiasi Cha shilingi 579 katika Mkoa wa Simiyu kusaidia akina mama.

Aidha, amesisitiza kuwa katika Mkoa wa Simiyu vikundi vya wanawake 102 kutoka Wilaya zote vilipewa mkopo katika mwaka wa fedha wa 2021/2022  shilingi  579,975,458  kwa ajili ya shughuli mbalimbali za  kiuchumi.

"Ukimpa fedha mwana mama una uhakika wa kurudisha kwa asilimia mia moja na Nichukue nafasi hii kuwaambieni wanaorudisha mikopo vizuri katika mkoa wetu ni ile mikopo inayoenda kwa kina mama hongereni akina mama" amesema Dkt Nawanda

Pia Dkt Nawanda ameongeza kuwa  vikundi  vya wanawake 1485 vimepata mafunzo mbalimbali yakiwepo ya ujasiliamali na elimu  nyingine na Mkoa utaongeza nguvu ili  kufikia mwakani kuwe na vikundi zaidi ya 2000 mpaka 3000 vitakavyopata mafunzo.

Pia Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa serikali ya Mkoa itaendelea kutoa elimu kwa kupinga ukiukwaji wa jinsia kwa kupinga Mila zote zinazokiukwa katika jamii.


Baadhi ya akina mama wa Wilaya ya Maswa wakifuraia siku ya maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani tarehe 08/03/2023 yaliyoadhimishwa kimkoa Wilayani Meatu


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.