• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mwenge wa Uhuru 2023 watembelea mradi wa Hifadhi ya Mazingira Zanzui

Posted on: July 26th, 2023

Mwenge wa uhuru umetembelea, umekagua na kupanda mti katika mradi wa  kitalu cha miti, hifadhi ya Mazingira na vyanzo vya maji katika Kijiji cha Zanzui Kata ya Zanzui ambapo mradi huo una thamani ya Shilingi 227,200,000/=.

Katika kukabiliana na mabadiliko ya tabia ya nchi Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa kushirikiana na Mamlaka ya bonde la ziwa Victoria kwa msimu wa 2019/2020 walipanda miti  10000 katika eneo la kuzunguka bwawa la New sola.

Akisoma taarifa kwa kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Afisa Nyuki Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. Salum Kuzenza amesema Wilaya ya Maswa imepanda miti  241,014 katika maeneo mbalimbali zikiwemo taasisi za umma, watu binafsi pamoja na eneo la vyanzo vya maji ambapo lengo likiwa ifikapo mwisho wa mwaka  2023 miti 1,500,000 iwe imepandwa katika Wilaya ya Maswa.

Pia  Ndg. Kuzenza ameongeza kuwa mradi huo utasaidia katika utunzaji wa Mazingira na vyanzo vya maji kwa kuhifadhi maliasili, kupunguza kiwango cha gesi ukaa na kuongeza makazi ya viumbe hai sambamba na hilo pia kuanzishwa kwa kitalu hicho cha miti kitasaidia kusambaza miti maeneo mbalimbali ya Wilaya ya Maswa ili kupunguza changamoto ya kimazingira inayotokana na mabadiliko ya tabia ya nchi.

Nae mbunge wa jimbo la Maswa Magharibi Mhe. Mashimba Ndaki amewataka wananchi wa eneo hilo la mradi kutunza vyanzo vya maji kwa kuwa wanapata faida katika chanzo hicho kuweka mizinga ya nyuki ili iwasaidie.

Mkimbiza Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim akipata maelezo kuhusu kitalu cha miti

Mkimbiza Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim akikagua hifadhi ya Mazingira pembezoni mwa Bwawa la Maji Zanzui

Mkimbiza Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim akipanda mti katika eneo la kitalu cha miti Zanzui

Mkimbiza Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg. Abdalla Shaib Kaim akionyeshwa aina mbalimbali ya miche iliyopandwa katika kitalu cha miti


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.