• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mvua kubwa ya upepo na mawe yaharibu makazi ya wananchi Malampaka

Posted on: February 18th, 2023

Wakazi 51 wa Kijiji Cha Malampaka kata ya Malampaka wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu wamekosa makazi baada ya mvua kubwa ya upepo, iliyoambatana na mawe kunyesha na kusababisha nyumba za wananchi kubomoka pamoja na mapaa ya nyumba zao kuezuriwa.

Kutokana na maafa hayo Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge amefika katika nyumba hizo pamoja na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa ili kufanya tathmini ya vitu vilivyoharibika na kutoa pole kwa waathirika wote wa maaafa na kuona namna ambavyo wananchi hao watasaidiwa katika maradhi.

Mhe. Kaminyoge amewashauri viongozi wa vijiji kuwa karibu na wananchi waliopata maafa kwa kuwapa hifadhi na sehemu ambazo zinawezekana kurudishiwa wasaidie kurudishia.

 Pia mkuu wa wilaya amemwagiza Mkurugenzi kupitia kamati ya maafa kuona namna ya kuwasaidia chakula wananchi hao waliokubwa na maafa.

“Serikali imetoa mahindi ya bei nafuu ningeomba Halmashauri ione hizi familia ambazo zimeathirika itoe angalau kilo 60 za mahindi kwa familia hizi, watafutiwe dagaa au maharage ili wasiangahike juu ya chakula, wahangaikie namna ya kurudisha makazi yao” amesema Mkuu wa Wilaya.

Kamiyonge amewashauri Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kupitia Divisheni ya Ujenzi kuwashauri wananchi kuboresha majengo yao kwa kuwa baadhi ya nyumba ambazo zimeathirika ni za muda mrefu hivyo kutohimili hali ya hewa ya aina hiyo.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Malampaka Mhe: Mashala Renatus Masalu amemshukuru mkuu wa Wilaya kwa kufika kwa wakati, kuwafariji na kuona namna ambavyo athari zimetokea kwa wananchi hao waliokumbwa na maafa .


Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.