• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa wilaya azitaka taasisi zote kutunza miti katika bonde la Mto Sola

Posted on: January 2nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge ameziagiza taasisi zote za serikali kutunza miti yote  iliyopandwa  katika bonde la Mto Sola lengo kubwa likiwa ni kuhifadhi  chanzo cha maji yanayokwenda kwenye bwawa la Zanzui.

Akizungumza katika eneo hilo la bonde la Mto Sola   leo tarehe  2 Januari 2023 wakati wa zoezi la upandaji wa miti lililofanyika katika bonde hilo. Mhe Kaminyoge amesema suala la mazingira ni suala mtambuka hivyo kila taasisi ya kiserikali washirikiane katika kupanda miti mpaka tarehe 15 mwezi huu na kila taasisi  iweke bajeti ya utunzaji wa mazingira kwa ajili ya kutengeneza vitalu katika bwawa la Zanzui (New Sola) ili kukabiliana na mabadiliko ya  tabia ya nchi.

Mkuu wa Wilaya amesema Afisa Mazingira ndio mwenye mamlaka ya kuibua ajenda za utunzaji wa mazingira na upandaji wa miti wakati wa mwanzo wa msimu katika vikao na kwenye balaza la madiwani ili kujadili mustakabali wa   suala hilo la utunzaji wa chanzo cha Mto Sola.

Pia Mkuu wa Wilaya amewataka watendaji wote wenye mamlaka katika eneo hilo kusimamia  chanzo hicho cha maji ili shughuli zote za kiuchumi na kijamii zinazoendelea katika chanzo hicho zisitishwe mara moja. Na kiongozi yeyote atakayeshidwa   kusimamia hatua kali za kisheria zitachukuliwa.

Kwa upande wake Diwani wa Kata ya Sola Mhe. Masanja Mpiga amempongeza Mhe. Mkuu wa Wilaya kwa kazi kubwa anayoifanya ya usimamizi wa shughuli hiyo ya upandaji wa miti ili kulinda chanzo hicho cha maji ambacho kitasaidia upatikanaji wa maji na kuwaomba wataalamu wasaidie katika jambo hilo. Pia amewataka wananchi kutii sheria zilizowekwa katika bonde hilo na  wawe walinzi wa maeneo ya vyanzo vya maji ili kuepukana na ukosefu wa maji.

Naye Kaimu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mhe. Mary Misangu amesikitishwa na uzembe unaojitokeza katika Divisheni ya mazingira na maliasili kwa kuwa wao ndio wana mamlaka ya kusimamia chanzo hicho ili shughuli zozote za kiuchumi na kijamii zisiendelee lakini mpaka sasa tayari wananchi wamelima katika chanzo hicho hivyo amemuahidi Mhe. Mkuu wa Wilaya kushughulikia suala hilo.

Zoezi hilo limeshirikisha taasisi mbalimbali za serikali ambazo ni Halmashauri ya Wilaya, Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, Mamlaka ya mji mdogo, Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa, Jeshi la akiba, Jeshi la magereza  na watendaji wa Kata na Kitongoji cha uwanja wa ndege.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.