• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Malampaka kunufaika na maji ya ziwa Victoria

Posted on: July 1st, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge amesema tatizo la maji katika mji wa Malampaka litakuwa historia kwa sababu serikali ya Rais Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa Fedha kwa ajili ya kuleta maji mji wa Malampaka.

Mkuu wa Wilaya amesema kuwa maelekezo ya Waziri Mkuu kuhusu mkataba wa kutoa maji Hungumalwa kuja Malampaka tayari yametekelezwa ambapo mkataba umesainiwa na Waziri wa Maji ili maji hayo yaanze kuletwa Malampaka kwa kuwa tatizo la maji ni kubwa

"Wakandarasi wanaanza kuleta maji ya ziwa Victoria kutoka kwenya Bomba la KASHIWASA linalopeleka maji Shinyanga, Tabora na Nzega kwa hiyo maji yetu Wanamalampaka Sasa baada ya miezi minne au mitano maji yatakuwa yameingia na kutakuwa na tenki kubwa pamoja na Bomba la kuleta maji hapa ambalo litasambaza maji maeneo mengine ikiwepo Mataba na Nyabubinza". Amesema Kaminyoge.

Pia Mhe Kaminyoge amesema atakuwa bega kwa bega na wananchi kufuatilia kwa karibu mradi huo wa maji ili uweze kukamilika kwa wakati na watu wa Malampaka waweze kutumia maji hayo na kuondokana na kero hiyo.

Aidha mkuu wa wilaya ametoa wito kwa watu wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Maswa (MAUWASA) kuhakikisha wanakamilisha haraka ujenzi wa tenki ambalo linajengwa Malampaka ili kuwawezesha wananchi kupata huduma ya maji kwa miezi hiyo  ambapo maji ya ziwa Victoria bado hayajafika katika mji wa Malampaka.

Mkuu wa Wilaya amesema hayo wakati akizungumza na wananchi katika mkutano wa ulizi na usalama katika mji wa Malampaka wakati akilishukuru jeshi la sungusungu kwa kazi kubwa wanayoifanya ya kuendeleza amani na utulivu katika wilaya ya Maswa kwa sababu matukio ya uhalifu yamepungua kwa kiasi kikubwa katika wilaya ya Maswa  ili kuwasikiliza wananchi kero zao na kuwaeleza mafanikio ambayo serikali imeyafanya.

Pia Mhe Kaminyoge ameipongeza serikali ya awamu ya sita ya Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa  juhudi kubwa inazozifanya  kuhakikisha wananchi wake wanapata huduma mbalimbali za kijamii ikiwepo Elimu, Barabara na Afya.

Pia amewataka wananchi kuiamini serikali kwa kazi kubwa inayoifanya ya kuleta maendeleo ikiwepo Barabara ambayo itajengwa kwa kiwango cha Rami kutoka Maswa Lalago Sibiti mpaka Arusha ili kuhakikisha wananchi wanakuza uchumi wao.

Kwa upande wao wananchi wamempongeza Mkuu wa Wilaya kwa kuongea nao na kusikiliza kero zao ambapo wameahidi kuendelea kuiunga mkono Serikali kwa kazi kubwa  ya kuwaletea mandeleo wananchi wa Maswa.

Ujenzi wa Tanki  la Maji Malampaka

Wananchi wa Malampaka wakiwa kwenye Mkutano na Mkuu wa Wilaya 


Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.