• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mafunzo maalum kwa watoa huduma ya unyunyiziaji viuatilifu

Posted on: November 23rd, 2019

Shirika la kiserikali linalohusika na tafiti mbalimbali za wadudu waharibifu la Tropical Pesticides Research Institute (TPRI) limefanya mafunzo ya siku tatu kwa Maafisa Kilimo na baadhi ya wanachama kutoka katika AMCOS za Wilayani Maswa chini ya ufadhili wa washikadau GATSBY AFRICA.

Mafunzo hayo yamefanyika kuanzia tarehe 20 - 22/11/2019 kwa nadhalia na vitendo. Malengo makuu ya mafunzo hayo yalikuwa yafuatayo:-

1.Kufundisha sheria na kanuni ya udhibiti wa visumbufu vya mimea Tanzania

            Madhumuni ya sheria na kanuni ni

                •Kulinda afya ya binadamu, wanyama na viumbe wengine rafiki wa mazingira

                •Kuongeza ubora wa mazao kulingana na mahitaji ya masoko

                •Kuelekeza matumizi sahihi ya viuatilifu ili kuongeza mavuno kwa mazao ya chakula na biashara

2.Kufundisha visumbufu mbalimbali vya zao la pamba na njia za kudhibiti  

3.Kufundisha madhara ya viuatilifu na huduma ya kwanza.

4.Kufundisha vibandiko na vielekezo vya michoro

5.Kufundisha vifaa kinga vya kuzuia viuatilifu visiingie mwilini

6.Kufundisha matumizi sahihi ya vinyunyizi (Mabomba) na vinyunyizio(Nozeli) vya kunyunyizia viuatilifu.

7.Kufundisha mbinu bora za unyunyiziaji wa viuatilifu

8.Kufundisha uhifadhi sahihi na uteketezaji wa viuatilifu chakavu na viwekeo tupu.


Siku ya kwanza walielekezwa mambo mbalimbali ikiwemo utambuzi wa visumbufu ( wadudu, magonjwa, magugu),  njia za udhibiti wa visumbufu vya zao la pamba, aina na tabia ya viuatilifu na michanganyiko ya viuatilifu.

Siku iliyofuata baada ya wajumbe kufundishwa   vibandiko, vielelezo vya michoro, vifaa kinga vya kuzuia viuatilifu visiingie mwilini pamoja na mbinu bora za unyunyiziaji wa viuatilifu, walienda shambani kwa ajili ya kutambua aina ya visumbufu ili kuelewa ni aina gani ya kinyunyizio (nozeli ) watumie wakati wa kunyunyizia kulingana na visumbufu vilivyopo shambani Mfano; wadudu, magonjwa au magugu.

Siku ya mwisho walielekezwa jinsi ya kufanya maandalizi ya mabomba kabla ya kunyunyizia viuatilifu, hii ni pamoja na uchanganyaji sahihi wa viuatilifu hivyo. Pia walijifunza mbinu bora za unyunyiziaji viuadudu,vizuia kuvu na viuagugu.

Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.