• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kitovu cha Teknolojia za kihandisi chazinduliwa

Posted on: July 26th, 2023

Kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Ndg. Abdalla Shaib Kaim amesema kituo cha  teknolojia za kihandisi kinatakiwa kuwajengea uwezo wananchi na uelewa kuhusu  zana za Kilimo ili ziwaongezee kasi ya uzalishaji kwa kuongeza tija katika shughuli za Kilimo.

Mwenge wa uhuru kitaifa mwaka 2023 umezindua kitovu cha teknolojia za kihandisi Kijijini (CAMARTEC) kilichopo Kijiji cha Mwandete Kata ya Sangamwalugesha. Kituo hicho kimeanzishwa kwa lengo la kuwawezesha wakulima na wafugaji kupata huduma za teknolojia za kihandisi ikiwamo zana za Kilimo ufugaji na uvuvi ili kuongeza uzalishaji wa mazao ya Kilimo.

Mradi huo unatekelezwa na wizara ya viwanda na biashara kupitia kituo cha zana za Kilimo pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa.

Akisoma taarifa Afisa Rasilimali Watu Ndg. Boniface Chatila, Mkuu wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu - CAMARTEC amesema kituo hicho kinatoa huduma mbalimbali kwa wananchi kwa kutoa mafunzo ambapo vijana na wanawake 50 wamepata mafunzo, ukodishaji wa zana hizo pamoja na uuzaji.

Nae Mbunge wa Jimbo la Maswa Mashariki ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya kudumu ya bunge ya huduma za maendeleo ya kijamii Mhe. Stanslaus Nyongo amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa Fedha kwa ajili ya mradi huo ambao utasaidia wananchi wengi katika Kilimo.

Aidha amesema kuwa wananchi wakitumie vizuri kituo hicho kwa ajili ya kukodi zana hizo wakati wa kilimo na kupata ushauri ambao utawasaidia kuongeza tija kwa wakulima na wafugaji.

Afisa Utumishi CARMATEC akisoma taarifa kwa kiongozi wa Mbio za Mwenge 2023

Msimamizi wa Kituo akitoa malezo kwa Kiongozi wa Mbio za Mwenge 2023



Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.