• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA USHAURI YA WILAYA (DCC) YAPITISHA RASIMU YA MPANGO NA BAJETI YA 2025/2026

Posted on: January 15th, 2025

Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya Maswa ikiongonzwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe.  Aswege Kaminyonge leo tarehe 15 januari 2025 imepitisha Rasimu ya Mpango na Bajeti ya mwaka wa fedha 2025/2026.

Kamati hiyo imepitisha  Rasimu hiyo baada ya kupitia mapendekezo yaliyowasilishwa ambayo yamezingatia vipaumbele vya Halmashauri katika maeneo muhimu ambayo ni kuboresha miundombinu ya elimu, kukarabati miundombinu ya Afya, kuwezesha wananchi kwa kutoa fursa ya upatikanaji wa mikopo ya asilimia 10%.

Ujenzi wa soko la kisasa katika eneo la MADECO, pamoja na kusimamia uzalisha katika kiwanda cha chaki ili kiweze kutoa matokeo chanya pamoja na kuongeza tija ya uzalishaji katika sekta ya kilimo.

Akiwasilisha Rasimu ya Mpango wa Bajeti  Afisa Mipango wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndugu, Julius Ikongola amesema kuwa katika mwaka wa fedha 2025/2026 Halmashauri ya Wilaya ya Maswa imekisia kukusanya na kutumia jumla ya shilingi bilioni 47,231,857,280.00 ikiwa ni ongezeko la  shilingi milioni 379,943,920.00  sawa na asilimia 0.81%. Ikilinganishwa na bajeti ya mwaka 2024/2025 ya kiasi cha shilingi bilioni 46,851,913,360.00.

Pia ndugu, Ikongola ameongeza kuwa ongezeko hilo limetokana na kuongezeka kwa bajeti ya mapato ya ndani ya Halmashauri, Ruzuku ya mishahara pamoja na Ruzuku ya miradi ya maendeleo.

Pia kamati hiyo imetoa pongezi kwa Menejimenti ya Halmashauri ya Wilaya chini ya  Mkurugezi Mtendaji kwa kuandaa bajeti nzuri ambayo ina  vipaumbele vyote ambavyo  vitaenda kujibu changamoto  mbalimbali za wananchi.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.