• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YATEMBELEA MIRADI YA MAENDELEO

Posted on: December 11th, 2024

Kamati ya Ulinzi na Usalama Wilaya ya Maswa ikiongozwa na Mwenyekiti wa Kamati hiyo ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe Aswege Kaminyoge imeanza ziara ya siku tatu yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya Elimu, Afya na Kilimo.

Mwenyekiti wa Kamati hiyo amesema maelekezo ya Mhe Wazari Mkuu kwa wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa ni kuhakikisha kuwa  miradi yote iliyopokea  pesa inatakiwa kukamilika ifikapo Desemba  30, 2024 ili Januari ianze kutoa huduma.

Aidha Mhe Kaminyoge amewataka mafundi wanaotekeleza  miradi hiyo kuhakikisha wanaongeza vibarua na kuwalipa fedha kwa wakati ili  miradi hiyo   iende kwa kasi na kwa ubora unaotakiwa.

“Miundombinu ipatikane yenye ubora lakini wananchi waseme pesa aliyoleta Mhe Rais imewanufaisha wote” amesema Mkuu wa Wilaya

Kamati hiyo imetembela na kukagua ujenzi wa shule mpya ya sekondari katika kijiji cha Isageng’he Kata ya Sukuma, ujenzi wa Zahanati katika Kijiji cha Mandang’ombe na Mbaragane Kata ya Mbaragane, ujenzi wa nyumba ya mwalimu (2 in1 ) katika shule ya sekondari Dakama.

Pia Kamati hiyo imekagua ujenzi wa shule mpya ya Sekondari katika Kata ya Mwabaraturu na ujenzi wa vyumba 3 vya madarasa na matundu 6 ya vyoo katika shule ya msingi Budekwa Kata ya Budekwa.

Kwa upande wake Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Julius John amesema kuwa upungufu wa wazabuni wanaoomba kazi kwenye mfumo wa NEST unaleta changamoto katika utekelezaji wa miradi kwa kuwa mpaka sasa mzabuni ni mmoja tu  anayesambaza madini ujenzi.

Kaimu Mkurugenzi amesema Halmashauri imeendelea kutatua changamoto hiyo  ili kuhakikisha utekelezaji wa ujenzi wa miradi hiyo unaendelea ili miradi hiyo ikamilike kwa wakati.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.