• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati ya FUM Maswa yaridhishwa na Miradi ya Maendeleo

Posted on: February 23rd, 2023

Wajumbe wa kamati ya fedha, utawala na mipango kutoka  Halmashauri ya Wilaya ya Maswa wameridhishwa na viongozi wanaosimamia miradi ya maendeleo ambayo inatekelezwa katika maeneo yao  kwa kasi na ufasi mkubwa.

Akizungumza katika kijiji cha Mwabaraturu eneo   ambalo  shule mpya ya msingi  inajengwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. Simon Berege ameipongeza kamati ya ujenzi kwa usimamizi  mzuri wa mradi kwa kuwa shule hiyo inajengwa kwa ubora unaotakiwa na kasi yake ni nzuri.

Pia  Mkurugenzi Mtendaji amemshauri msimamizi wa mradi kuwashirikisha kamati ya ujenzi katika manunuzi ya vifaa vinavyotumika kujenga mradi huo na si mtu mmoja kuchukua maamuzi ya kununua vifaa hivyo.

Mbali na shule hiyo wajumbe pia wametembelea kituo cha zana za kilimo na teknolojia vijijini (CAMARTEC) kilichopo kijiji cha Mwandete Kata ya Sangamwalugesha na kuona zana mbalimbali ambazo zitasaidia katika shughuli za kuinua uchumi, mwananchi kwa kuwa zana hizo ni za technologia ya kisasa ikiwepo mashine ya kutengeneza siagi, mashine ya kupukuchua mahindi na nyingine nyingi.

Kamati imeishauri Divisheni ya Maendeleo ya Jamii kuona namna ya kuwawezesha vijana, wanawake na watu wenye ulemavu kupitia mikopo ya asilimia kumi kuchukua zana hizo ambazo zitawasaidia kujikwamua kiuchumi na kuiwezesha Halmashauri kupata mapato kupitia miradi ambao watabuni.

Pia kamati imetembelea kikundi cha vijana imara kilichopo Kata ya Lalago kinachojishughulisha na mradi wa utengenezaji wa fensi waya (fence wire) ambacho kilipewa kiasi cha shs 16,000,000/= ambazo ni fedha za mikopo ya asilimia kumi (10%) ya mapato ya ndani ya  Halmashauri ya Wilaya ya Maswa.

Wajumbe wamewashauri vijana hao kutoka na kujitangaza maeneo ya wazi ili wapate wateja na masoko  kwa haraka ili waweze kupata  fedha ambazo zitawasaidia kurudisha mkopo waliopewa na Halmashauri ya Wilaya ya Maswa.

Nae Mkurugenzi Mtendaji amewapongeza vijana hao kwa kuanzisha kiwanda hicho ambacho kimeanza kufanya uzalishaji na amewaomba wawe na nidhamu katika matumizi ya fedha ili waweze kufika mbali pia ameahidi kuwapa eneo sehemu ya viwanda katika eneo la Ng’hami ili kuweka kiwanda chao.

Mwenyekiti wa Kamati amewataka vijana hao kuwa na ushirikiano katika kufanya kazi hiyo ili waweze kufikia malengo yao ya kukua katika biashara yao.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.