• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC Maswa atembelea miradi ya maendeleo

Posted on: February 22nd, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu  Mhe. Aswege Kaminyoge amekagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Wilaya ya Maswa na kuwaomba wataalamu kusimamia miradi  hiyo ili iweze kukamilika kwa wakati na kwa ubora unaotakiwa.

Akiwa katika ziara hiyo iliyofanyika leo tarehe 22 februari 2023 ya kukagua miradi Mhe. Mkuu wa Wilaya aliambatana na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Maswa, wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Maswa.

Mhe. Kaminyoge amekagua ujenzi wa zahanati ya Nguliguli iliyopo Kata ya Nguliguli unaohusisha ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD), Jengo la Cliniki (RHC) na ujenzi wa nyumba moja ya mtumishi na ujenzi wa vyoo ambapo ujenzi wake umefikia hatua ya ukamilishaji.

Mradi huo wa ujenzi wa zahanati hiyo unatekelezwa kwa fedha za Global Fund ambapo kiasi cha shs 271,096,536/= kimetolewa katika mradi huo na mpaka sasa mradi huo umetumia shs 144,610,043.98/=, ujenzi wa shule mpya msingi Mwabaraturu iliyopo kata ya Mpindo inayohusisha vyumba 9 vya madarasa, jengo la utawala 1 na matundu ya vyoo 30 katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa.

Mradi huo wa ujenzi wa shule hiyo unatekelezwa na serikli kuu  ambapo shs 250,000,000/= zimetolewa kutekeleza mradi huo na shilingi milioni saba zimetolewa na mfuko wa jimbo kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa madarasa mawili yaliyojengwa na wananchi. Pia ametembelea ujenzi wa jengo la kufulia nguo katika  Kituo cha Afya Zebeya.

 Pia Mhe Mkuu wa Wilaya alitembelea shule ya sekondari Ipililo, kituo cha afya Ipililo pamoja na bwawa la Zebeya  kuona huduma zinavyotolewa katika maeneo hayo.

Mhe kaminyoge  amesema serikali imetoa fedha ili kuboresha sekta  ya elimu na afya hivyo amewasisitiza mafundi wote kuhakikisha wanajenga kwa viwango ili majengo hayo yaweze kudumu kwa muda mrefu na kukamilika kwa muda uliopangwa.  


Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.