• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

CMT Maswa yatembelea miradi ya maendeleo

Posted on: February 13th, 2023

Kamati ya Menejimenti ya Halmashauri ya wilaya ya Maswa mkoa wa Simiyu imefanya ziara ya kukagua miradi inayotekelezwa na Halmashauri hiyo  na kuridhishwa na kasi  ya utekelezaji wa miradi ambayo imefikia hatua nzuri ya ukamirishaji.

Wajumbe hao wamewaomba viongozi waliopewa jukumu hilo la kusimamia miradi hiyo wahakikishe miradi inakamilika kwa muda uliopangwa na iwe na ubora wenye viwango vinavyotakiwa ili iweze kudumu kwa muda mrefu.

Wakiwa katika ziara hiyo wajumbe wa  kamati ya CMT wamekagua mradi wa ujenzi wa vyumba viwili (2) vya madarasa katika shule ya sekondari Zanzui iliyopo Kata ya Zanzui Halmashauri ya Wilaya ya Maswa. Fedha zilizotumika katika utekelezaji wa mradi huo ni Jumla ya shs  50,000,000/= zilizotokana na mapato ya ndani ya Halmashauri ya Maswa mpaka sasa mradi huo umetumia shs 49,646,389/= ambapo mradi huo umekamilika kwa asilimia 90%.

Pia kamati ya CMT imetembelea mradi wa ujenzi wa zahanati katika kijiji cha Zawa kilichopo Kata ya Mwang’honoli, mradi unaotekelezwa na Halmashauri ya Wilaya ya  Maswa kwa kutumia mapato ya ndani ambapo Kijiji cha Zawa kimepokea shs 53,765,534.74  za awamu ya pili ya ukamilishaji wa zahanati hiyo mpaka sasa jumla ya shs 11,448,137 zimetumika katika mradi huo.

Mradi huo wa zahanati ukikamilika utasaidia wananchi wa eneo hilo kutotembea umbali mrefu kufuata huduma, itapunguza vifo vinavyotokana na uzazi kwa kuwa huduma itakuwa karibu.

Mradi wa nyumba ya mtumishi katika Kijiji cha Kizungu Kata ya Buchambi mradi huo unatekelezwa na serikali kupitia mfuko wa maendeleo ya jamii (TASAF) kiasi cha shs 62,262,102.00  kimetolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa nyumba hiyo   ambayo ipo katika hatua ya boma kiasi kilichotumika mpaka sasa ni shs 16,087.500.00 mpaka sasa pia mradi huo una miezi mitatu(3)  tangu kuanza na unatarajiwa kukamilika juni 2023.

Kwa upande  wao viongozi hao wameahidi kufanya kazi ya kusimamia kwa karibu miradi hiyo ili ikamilike kwa wakati na kusaidia jamii inayozunguka maeneo hayo kupata huduma hizo za kijamii na kuhakikisha sehemu ambapo kuna mapungufu watahakikisha wanarekebisha.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.