Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa anawatangazia Wananchi wote kuwa, halamashauri inauza Viwanja vilivyopimwa kwa matumizi mbalimbali kupitia Mradi wake wa kupanga, kupima na kumilikisha ardhi.
Viwanja hivyo vinapatikana eneo la Uzunguni B- Nyamasaka katika kata ya Binza barabara ya mchepuo inayokwenda Shinyanga na eneo la Malampaka SGR katika kata ya Malampaka barabara inayokwenda Mwanza na Shinyanga. Zaidi soma
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Sanduku la Posta: 170, MASWA
simu ya Mkononi: +255 282 750 271
Simu: +255 282 750 271
Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz
Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.