• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

World Vision waunga nguvu za Wananchi

Posted on: March 20th, 2019

Leo tarehe 20/3/2019 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa amekabidhi Zahanati mbili kwa mdau wa maendeleo ( World Vision) ambazo zilikuwa hazijakamilika ili azifanyie ukamilishaji. Mdau huyu ameamua kuunga juhudi za Wananchi kwa kukamilisha majengo mawili ya Zahanati katika vijiji vya Mwatumbe na Wigelekelo Wilayani hapa.

Katika makabidhiano hayo mdau huyu wa maendeleo amemkabidhi pia Mkandarasi mteule Ms. Kalumo Technology Investement Limited kwa ajili ya utekelezaji wa kazi hiyo kwa mujibu wa BOQ iliyoandaliwa kufanya ukamilishaji. Mkataba uliofungwa kati ya World Vision na Mkandarasi kazi ilitakiwa kuanza tarehe 11/3/2019 na kukamilika tarehe 31/5/2019. Pamoja na mdau huyu kuunga mkono kazi ya Wanajamii, wananchi wamekumbushwa kutoa ushirikiano kwa mkandarasi ili kuweza kukamilisha kazi hiyo kwa wakati ikiwa ni pamoja na kukamilisha majukumu yanayowahusu katika eneo la kazi.

Wananchi wa vijiji vyote wamekumbushwa kuwa ili zahanati kufunguliwa na kuanza kazi vifuatavyo viwe vimekamilika; Jengo la Zahanati, Nyumba ya Mtumishi, Choo, Sehemu ya kuchomea taka ngumu na kutupia Kondo la nyuma. Wananchi wamekubaliana na kuahidi kutoa ushirikiano na kutekeleza wanayotakiwa kukamilisha.

Kutokana na utayari wa wananchi kujitolea kukamilisha majukumu yaliyoonekana kuwa mengi, Waratibu wa Mradi kutoka katika ADP ya Isanga na Shishiyu wameahidi kuendelea kuongeza nguvu ya kuwaunga mkono wananchi. Kwa kuunga mkono muitikio wa Wananchi Mratibu wa ADP ya Shishiyu alisema, " Kutokana na mahitaji kuwa mengi ili kituo kiwe tayari kutumika, tuko tayari kushirikiana nanyi kujenga choo"

Baada ya makabidhiano hayo na mkandarasi kesho kazi inaanza rasmi.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.