• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
      • Mawasiliano Serikalini
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Shule za Nyalikungu na Mwakaleka zatikisa mashindano ya kuandika insha

Posted on: December 7th, 2022

Sekta ya Elimu ni nyenzo  muhimu sana katika maisha ya kila mtanzania kwa kuliona hilo divisheni za Elimu katika Halmashauri ya Wilaya ya Maswa zimewapima uelewa wanafunzi katika wiki ya maadhimisho ya sherehe za miaka 61 ya uhuru wilayani Maswa ambapo shule mbalimbali za msingi na sekondari zimejitokeza kuandika insha kuhusiana na mafanikio ambayo serikali imepata katika sekta ya Elimu tangu uhuru hadi leo.

Leo tarehe 7 Decemba 2022 mashindano ya kuandika insha yamefanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mtendaji wa Kata ya Nyalikungu na kuhusisha shule za sekondari Binza, Nyalikungu, Mwakaleka pamoja na Maswa kwa upande wa shule za msingi zilizoshiriki ni Ng'hami, Shanwa na Mwawayi.

Katika mashindano hayo shule zilizofanya vizuri zaidi kila kundi ni kama ifuatavyo; kwa upande wa Shule za Sekondari ni Mwakaleka na kwa upande wa Shule za msingi ni Nyalikungu.

Akizungumza katika eneo hilo la ukumbi wa Nyalikungu Afisa Elimu vifaa na takwimu Ndg. Aloyce Emmanuel Mtayoba amesema kuwa wameamua kuwapima watoto hao wa shule ili kuona uelewa wao  kuhusu mafanikio ambayo serikali imepata tangu uhuru mpaka sasa, katika sekta ya Elimu.

Pia amesema kuwa katika maadhimisho hayo Divisheni za Elimu Msingi na Sekondari zimeziagiza shule zote kuchukua miti Halmashauri na kwenda kupanda miti katika shule zao na michezo mbalimbali iendelee pamoja na mazoezi ya kuandika insha mpaka siku ya kilele Cha maadhimisho hayo yatakayofanyika tarehe 9.


Wanafunzi wa Shule za Sekondari wakiandika Insha siku ya tarehe 7/12/2022


Wanafunzi wa Shule za Msingi wakiandika Insha siku ya tarehe 7/12/2022


Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE 2022 WILAYA YA MASWA January 30, 2023
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Balozi wa pamba atoa mafunzo ya matumizi sahihi ya viuatilifu Maswa

    January 16, 2023
  • Mkuu wa wilaya azitaka taasisi zote kutunza miti katika bonde la Mto Sola

    January 02, 2023
  • Uhamasishaji wa kilimo bora cha pamba

    December 23, 2022
  • RC achangia mifuko Hamsini ujenzi wa choo

    December 22, 2022
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.