• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RC AMPONGEZA RAIS KWA KUWAWEZESHA WANAWAKE WA MKOA WA SIMIYU

Posted on: March 9th, 2024

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe Dkt Yahaya Nawanda amempongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuwawezesha wanawake wa mkoa wa simiyu

Amesema hayo katika maadhimisho ya siku ya wanawake yaliyofanyika leo tarehe 08 march 2024 katika viwanja vya Dutwa vyilivyopo kata ya Dutwa Wilaya ya Bariadi Mkoani Simiyu ambapo maadhimisho hayo yenye kauli mbiu ya “wekeza kwa mwanamke kuharakisha maendelo ya Taifa na ustawi wa jamii”

Amesema kuwa katika kuhakikisha anamtua ndoo mama kichwani Rais ametoa kiasi cha shilingi bilioni 444 kwa  lengo la kuhakikisha wakina mama wote wa Mkoa wa Simiyu hasahasa wa Wilaya ya Busega, Bariadi na Itilima wanapata maji ya kutosha kwa awamu hiyo ya kwanza ya mradi.

“Mhe Rais licha ya kutuletea hizo fedha Zaidi ya bilioni 444 pia mhe rais katika bajeti hii kuhakikisha wanawake wote wa Mkoa wa Simiyu wanapata maji na tunapeleka maji kwa Zaidi ya asilimia 85% ifikapo mwakani.”amesema Mkuu wa Mkoa

Ameongeza kuwa Rais ametoa Zaidi ya shilingi bilioni 31 kuhakikisha miradi 32 inapelekwa katika Wilaya zote ili kuhakikisha mwanamke anatuliwa ndoo kichwani

Amesema maadhamisho hayo ni kumbukumbu ya mkutano uliofanyika Ubeligiji mwaka 1995 ambapo mkutano huo uliazimia kuwepo na usawa katika jamii, kupinga vita ya ubaguzi pamoja na ubakaji na uzalilishaji kwa wanawake na watoto.

Aidha amesema maadhimisho yaho ni kuenzi maadhamisho yaliyokuwa yameasisiwa kule Ubeligiji ambapo Mkoa wa Simiyu umeendelea kupinga vikari ukatili wa kijinsia katika nafasi mbalimbali na hasahasa kuhakikisha wanawake wanaendelea kuishi katika mazingira salama.

Amesisitiza kuwa mwanamke akiwa mbele jamii itaendelea kuwa mbele na kuwa salama Zaidi pia  kauli mbiu hiyo itumiwe katika Mkoa wa Simiyu ili kuwawezesha wanawake kujiunga katika vikundi mbalimbali ambapo Zaidi ya wanawake 1527 wamejiunga katika vikundi 840 katika Mkoa wa Simiyu na tayari wameanza kupata mikopo ya asilimia 10% katika Halmashauri zote.

“Mhe Rais katika Mkoa wetu wa Simiyu ametutaka Mkoa wa Simiyu kutenga bajeti katika mwaka  2023/2024 Zaidi ya shilingi milioni 816  ili kupeleka katika vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu asilimia 10% yetu ya mapato ya Halmashauri tupeleke katika vikundi vya wanawake, vijana na wenye ulemavu.”amesema Dtk Nawanda

Pia ameongeza kuwa Mkoa wa Simiyu umekusanya milioni 500 katika asilimia 10% kwa ajili kwa ajili ya kukopesha wananwake, vijana pamoja na watu wenye ulemavu ambapo wamepanga kuwakopesha wananawe  Zaidi ya bilioni 220 na tayari utaratibu umefika.

Dkt Nawanda ametoa wito kwa vijana kuiga mfano kwa akina mama pindi ambapo wanakopeshwa waweze kurudisha kwa wakati sambamba na hilo amewaagiza Wakurugenzi kuendelea kutenga fedha za asilimia 10% ili kuweza kufikia vikundi vingi vya akina mama.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.