• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mwenyekiti wa Halmashauri akabidhi pikipiki kwa watendaji wa Kata Tisa

Posted on: March 2nd, 2023

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mhe. Paul Maige amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hasan kwa kuwapatia pikipiki 9 kwa ajili ya kukusanya mapato na kupeleka huduma kwa wananchi.

Akizungumza wakati wa kukabidhi pikipiki hizo katika uwanja wa ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Leo tarehe 02 march 2023 Mhe. Maige  amesema pikipiki hizo zitumike kukusanya mapato na kulinda kila aina ya mapato ambayo yatapatikana pembezoni mwa Wilaya.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Ndg. Simon Berege amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hasan kwa kuwapa pikipiki hizo ambazo zitatumika kwa shughuli za kiserikali, maendeleo na kukusanya mapato.

Amesisitiza kuwa pikipiki zilizotolewa kwa awamu hii watapewa watendaji wa pembezoni mwa Wilaya ya Maswa na awamu itakayofata watendaji wa maeneo mengine watapata pikipiki hizo.

Nae mwakilishi  wa watendaji wa Kata Ndg. Paul Masaga amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hasan kwa kuwapatia vitendea kazi hivyo pia ameishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa kuzingatia umbali anapofanyia kazi mtendaji kuja makao makuu na ameiomba serikali iendelee kutoa vitendea kazi hivyo kwa watendaji wote.

Kwa upande wake mtendaji wa kata ya Sangamwalugesha Ndg. Modesta Ndelu amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hasan, Mkuu wa Wilaya ya Maswa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa kwa kumuwezesha usafiri maana anapoishi ni umbali wa km 68 kufika makao makuu ya Wilaya hivyo ujio wa pikipiki hiyo utakuwa mwarobaini katika kutimiza majukumu yake na ameahidi kufanya kazi kwa ufanisi kwa ajili ya kukusanya mapato na kuhudumia wananchi.

Katika kuboresha maslai na vitendea kazi hivyo Halmashauri ya Wilaya ya Maswa imetoa pikipiki hizo kwa watendaji wa kata walio  pembezoni mwa wilaya ambapo kata zilizonufaika ni Senani, Sangamwalugesha, Mpindo, Nyabubinza, Mwabaraturu, Seng'wa, Masela, Jija na Ipililo.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.