• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mratibu wa Sensa Wilaya atoa mafunzo kwa Kamati za sensa

Posted on: May 16th, 2022

Mratibu wa sensa ya watu na makazi wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Ndg Ntobi Ntambi leo ameanza ziara katika Kata mbalimbali za wilayani Maswa ambazo ni Budekwa, Mwabaraturu na Busilili, yenye lengo la kutoa elimu kwa kamati  tatu za sensa ambazo zitakuwa na majukumu ya kuhamasisha wananchi kuhusiana na zoezi hilo la sensa ya watu na makazi itakayofanyika Augusti 23, 2022.

Akitoa elimu hiyo mratibu amesema zoezi hilo litakuwa na utofauti na mazoezi mengine yaliyopita kwa sababu muundo unaotumika mwaka huu utakuwa na kamati tatu ambazo ni Kamati ya Kitongoji, Kamati ya Kijiji na Kamati ya Kata. Hivyo amewaomba wanakamati kuzingatia majukumu yao kama ambavyo yameainishwa kwenye muongozo.

Kutokana na umuhimu wa zoezi hilo Ndg Ntobi amewasisitiza wanakamati hao kutumia mbinu za ziada ikiwepo vikundi vya wasanii  "Manju" wanaopatikana maeneo yao ili waweze kutunga nyimbo zinazohusu sensa, vikao, mikusanyiko mbalimbali na mikutano ili ujumbe uwafikie wananchi wengi kwa muda mfupi.

Kwa upande wao wanakamati hao kwa nyakati tofauti wameipongeza Serikali na  kuahidi kuwa watakuwa makini katika zoezi hilo na watatoa ushirikiano kuhakikisha zoezi hilo linaanza vizuri na kukamilika kwa ufasaha  kwa kuwa dozi wameipata na wataitendea haki katika kuhamasisha wananchi wao.

Mratibu amewaomba wanakamati kuanzia kesho zoezi hilo litekelezwe kwa Kamati hizo zote kuanzia ngazi ya Kitongoji mpaka ngazi ya Kata na kauli mbiu ya sensa mwaka  huu ni "Sensa kwa maendeleo jiandae kuhesabiwa"

Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.