• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Wilaya Maswa atoa salamu za serikali

Posted on: February 15th, 2019

Mhe. Mkuu wa Wialaya ya Maswa Dr. Seif Shekarage ametoa salamu za serikalai kwenye Baraza la Madiwani la Robo ya Pili katika Halmashauri ya Wialaya ya Maswa.

Amegusia idara mbalimbali wakati wa kutoa salamu hizo kwa wananchi Wilaya hapa.

Kuhusu elimu ametoa shukrani kwa wataalamu, wah. Madiwani na wananchi kwa ushirikiano uliofanyika mwaka 2018 hadi kufanikisha ufaulu wa Wanafunzi kuwa mzuri. Kutokana na ufaulu huo amesema imejitokeza changamoto ya upungufu wa vyumba vya madarasa hivyo akahimiza ushirikiano wa kufanikisha ujenzi wa vyumba hivyo ili watoto waliokosa nafasi waanze masomo. Pia amesema zifanyike jitahada za ujenzi wa nyumba za walimu na vyoo kwa shule ambazo hazina ili kuweka mazingira rafiki ya kujifunzia na kufundishia.

Kwa upande wa huduma za Afya amesisitiza wananchi kujiunga Mfuko wa bima ya Afya ya Jamii iliyoboreshwa (iCHF). Hapo awali tulikuwa na CHF iliyokuwa inatumika katika kituo kimoja tu anapojiandikishia mwanachama tena kwa gharama ya 10,000/=, hivi sasa imeboreshwa gharama ya kujiunga ni 30,000/= kwa mwaka na mwanachama atatibiwa hospitali yoyote ya Serikali mahali ilipo huduma hii hapa nchini.

Kuhusu suala la kutii/ kuheshimu sheria amesema kila mwananchi anatakiwa kulifahamu hilo ili kusaidia kuishi bila bugudha yoyote katika jamii zetu. Kutokana na hili amewataka wananchi  wote wanaofuga mifugo ndani ya eneo la mamlaka ya mji mdogo waihamishe kwani atakayekutwa anachungia katika eneo hili atachukuliwa hatua za kisheria.

Amesisitiza pia suala la usimamiaji na ulipaji kodi kwa kila anayehusika. Kila mwenye biashara yoyote anatakiwa kulipa kodi, kwa wale ambao hawalipi kodi TRA wanatakiwa kuchukua vitambulisho vya wajasiliamali.

Ametoa ushauri kutokana na hali halisi iliyopo sasa vibuniwe vyanzo vingine vya mapato ili kuinua pato la Halmashauri. Amewahasa wafanya biashara kulipa ushuru wa huduma kama taratibu zinavyotutaka.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.