• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Wilaya aongoza Watumishi katika zoezi la kupanda Miti

Posted on: April 25th, 2023

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge ameongoza Watumishi kutoka katika Idara mbali mbali Wilayani hapa kupanda Miti katika eneo la Ofisi yake ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano itakayoadhimishwa hapo kesho tarehe 26/04/2023.

Katika eneo hilo ameweza kuongoza Watumishi kupanda aina mbali mbali za Miti. Zoezi lilikuwa ni uzinduzi wa zoezi linaloendelea hapo kesho. Akiongea na Watumishi hao baada ya kukamilisha zoezi la upandaji miti amewahimiza kuadhimisha sikuu hapo kesho kwa kila mmoja kupanda Miti katika eneo aloishi.

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge akichimba shimo kwa ajili ya kupanda mti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano katika eneo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge akipanda mti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano katika eneo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya leo 25.04.2023

Afisa Ardhi Wilaya ya Maswa Ndg. Vivian Christian  akipanda mti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano leo tarehe 25/04/2023

Afisa Mazingira Wilaya ya Maswa Bw. Dutu Lubinza akipanda mti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano katika eneo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya leo 25.04.2023

Afisa Tarafa, Tarafa ya Nhung'hu Bw. Saria akipanda mti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano katika eneo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya leo 25.04.2023

Afisa Tarafa, Tarafa ya Mwagala Bw. James Hongoli akipanda mti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano katika eneo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya leo 25.04.2023

Watumishi kutoka idara mbali mbali Wilayani Maswa wakipanda miti ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya sikukuu ya Muungano katika eneo la ofisi ya Mkuu wa Wilaya leo 25.04.2023


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.