• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Mkoa aipongeza Maswa kwa kupata hati safi

Posted on: June 27th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Maswa kwa kupata hati Safi iliyotokana na ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2021 kwa usimamizi mzuri wa mapato uliofanywa na Mkurugenzi Mtendaji, Mwenyekiti  pamoja na waheshimiwa Madiwani.

Kafulila amesema katika Mkoa wa Simiyu Halmashauri zote zimepata hati Safi kwa sababu ya utendaji mzuri wa wakurugenzi na usimamizi bora wa Madiwani katika Halmashauri ndio ulioziwezesha Halmashauri hizo kuwa na hati Safi.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo katika kikao maalumu Cha Baraza la Madiwani Cha kujadili hoja na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG kilichofanyika leo 27 Juni, 2022 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa.

 Mhe. Mkuu wa Mkoa ameipongeza Halmashauri ya Maswa kwa kushika nafasi ya kwanza kwenye ukusanyaji wa mapato na kuvuka lengo la Mkoa ambalo  ni asilimia 100 kwa kukusanya zaidi ya asilimia 120  na hivyo kuongoza Kimkoa kwa ukusanyaji mzuri wa mapato ambao umefanywa na watumishi wote wa wilaya ya Maswa pamoja na waheshimiwa Madiwani.

Aidha Mhe. Kafulila amesema kuwa Kasi ya kushughulikia hoja za zamani katika halmashauri zimefanyika kwa Kasi hivyo amemuomba Mkurugenzi kuendelea na mwendo huohuo ili hoja hizo ziweze kumalizika kwa wakati

Mhe. Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa madeni yote ambayo Halmashauri inadaiwa na wazabuni wanatakiwa kulipa baada ya mwezi mmoja wa mwaka mpya wa fedha utakapoanza ili kufunga hoja pia amewashauri Halmashauri wanapokusanya fedha hizo za ziada wanatakiwa kupeleka katika mfuko wa   wanawake, vijana na walemavu.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Ndg. Simon Berege amesema tayari madeni hayo yameanza kulipwa ambapo shs. milioni 147,126,803.3 tayari zimelipwa na Halmashauri  vilevile ameahidi kuendelea kulipa madeni yote ambayo yameainishwa kwenye ripoti ya CAG wiki mbili baada ya mwaka mpya wa fedha kuanza.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.