• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Utawala na Utumishi
      • Fedha
      • Afya
      • Ardhi na Mali asili
      • Maji
      • Ujenzi
      • Kilimo
      • Mifugo
      • Maendeleo ya Jamii
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Sheria
      • Ukaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Mkoa aipongeza Maswa kwa kupata hati safi

Posted on: June 27th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe. David Kafulila ameipongeza Halmashauri ya wilaya ya Maswa kwa kupata hati Safi iliyotokana na ripoti ya mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali CAG kwa mwaka wa fedha unaoishia 30 Juni, 2021 kwa usimamizi mzuri wa mapato uliofanywa na Mkurugenzi Mtendaji, Mwenyekiti  pamoja na waheshimiwa Madiwani.

Kafulila amesema katika Mkoa wa Simiyu Halmashauri zote zimepata hati Safi kwa sababu ya utendaji mzuri wa wakurugenzi na usimamizi bora wa Madiwani katika Halmashauri ndio ulioziwezesha Halmashauri hizo kuwa na hati Safi.

Mkuu wa Mkoa ameyasema hayo katika kikao maalumu Cha Baraza la Madiwani Cha kujadili hoja na mapendekezo ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali CAG kilichofanyika leo 27 Juni, 2022 katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa.

 Mhe. Mkuu wa Mkoa ameipongeza Halmashauri ya Maswa kwa kushika nafasi ya kwanza kwenye ukusanyaji wa mapato na kuvuka lengo la Mkoa ambalo  ni asilimia 100 kwa kukusanya zaidi ya asilimia 120  na hivyo kuongoza Kimkoa kwa ukusanyaji mzuri wa mapato ambao umefanywa na watumishi wote wa wilaya ya Maswa pamoja na waheshimiwa Madiwani.

Aidha Mhe. Kafulila amesema kuwa Kasi ya kushughulikia hoja za zamani katika halmashauri zimefanyika kwa Kasi hivyo amemuomba Mkurugenzi kuendelea na mwendo huohuo ili hoja hizo ziweze kumalizika kwa wakati

Mhe. Mkuu wa Mkoa amesisitiza kuwa madeni yote ambayo Halmashauri inadaiwa na wazabuni wanatakiwa kulipa baada ya mwezi mmoja wa mwaka mpya wa fedha utakapoanza ili kufunga hoja pia amewashauri Halmashauri wanapokusanya fedha hizo za ziada wanatakiwa kupeleka katika mfuko wa   wanawake, vijana na walemavu.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Ndg. Simon Berege amesema tayari madeni hayo yameanza kulipwa ambapo shs. milioni 147,126,803.3 tayari zimelipwa na Halmashauri  vilevile ameahidi kuendelea kulipa madeni yote ambayo yameainishwa kwenye ripoti ya CAG wiki mbili baada ya mwaka mpya wa fedha kuanza.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUSHIRIKI MAFUNZO YA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 26, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • Mafunzo ya Sensa ya Watu na makazi Maswa

    August 04, 2022
  • Kamati ya Fedha Utawala na Mipango yatembelea kiwanda cha Viatu Moshi

    July 22, 2022
  • Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa aipongeza Maswa

    July 11, 2022
  • Mkuu wa Mkoa aipongeza Maswa kwa kupata hati safi

    June 27, 2022
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS
  • Mfumo wa MVC-MIS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.