• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKURUGENZI MTENDAJI AWAHAIDI USHIRIKIANO MADIWANI MASWA

Posted on: August 25th, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu, Ndg. Simon Berege amewahaidi kuwapatia ushirikiano wa hali ya juu Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri hii katika shughuli zote za maendeleo wilayani hapa.

Akizungumza  leo kwa mara ya kwanza kwenye kikao cha Baraza la Madiwani amesema kuwa atatoa ushirikiano kwa viongozi wote Wilayani hapa katika shughuli mbalimbali za maendeleo ili kuhakikisha Wilaya hii inakwenda kasi zaidi ya hapo ilipofikia.

Aidha amewaomba Waheshimiwa Madiwani pia kumpatia ushirikiano ili kwa pamoja waweze  kusukuma gurudumu la kuwaletea maendeleo wananchi wa Wilaya hii. Berege aliteuliwa hivi karibuni  na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Maswa, kabla ya uteuzi huo alikuwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Msalala huko Kahama mkoani Shinyanga.

Ndani ya kikao cha Baraza hilo zimeibuliwa hoja mbalimbali na Waheshimiwa Madiwani likiwemo la Maji.                  

Diwani wa Viti maalum Wilaya ya Maswa mkoani Simiyu Devotha Pingu ameiomba Mamlaka ya maji MAUWASA kutoa elimu kwa wateja wao jinsi ya kusoma namba za mita za maji ili kuepusha minong'ono kwani kumetokea na lawama juu ya usomaji wa mita na kuleta ankra kubwa bila kujua.

Amefikisha malalamiko hayo kwenye kikao cha Baraza la Madiwani Wilayani hapa kilochofanyika leo tarehe 25 October 2021.  

Kaimu Meneja wa Mamlaka ya Maji Maswa MAUWASA Raphael Mwita amekili kuwepo kwa tatizo la usomaji wa mita za maji na kuahidi kulishugulikia swala hili kwa uzuri zaidi ili kuwapa huduma nzuri wateja wao.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.