• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkurugenzi akutana na Watumishi

Posted on: November 1st, 2019

Leo tarehe 1/11/2019 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa amefanya kikao na Watumishi wa Kata saba Wilayani hapa. Katika kikao hicho Watumishi wamepata fursa kutoa kero na changamaoto wanazokutana nazo katika mazingira ya utendaji kazi. Waatumishi 405 wa Idara za Elimu Msingi na Sekondari, Afya, Fedha, Utawala, Kilimo, Mifugo, Maendeleo ya Jamii, Mipango, Mazingira na Ardhi; Vitengo vya Manunuzi, TEHAMA, Sheria, TSC na Udhibiti Ubora kutoka katika Kata za Binza, Mwamashimba, Nyalikungu, Ng'wigwa, Shanwa, Sola na Sukuma wamehudhuria kikao hicho.

Katika kikao hicho mambo mengi yahusuyo taratibu za kiutumishi yamelezwa. Kwa msisitizo Mkurugenzi Mtendaji amewaelekeza Walimu Wakuu, Wakuu wa shule na Wafawidhi wa vituo vya kutolea huduma za Afya kutumia vema mapato wanayopata ikiwa ni pamoja na kuhakikisha kila mtumishi kwenye kituo husika anakunywa chai wakati awapo kazini.

Amesisitiza pia suala la kufikisha taarifa Ofisi ya Mkurugenzi lifuate utaratibu sahihi ili kupunguza mizunguko ya Watumishi wakati wa muda wa kazi na kurahisisha mawasiliano kwa kuagiza Walimu waandikapo Barua zao zisainiwe na kuwasilishwa kwa Mratibu Elimu Kata ambaye ataziwasilisha ofisi ya Afisa Elimu huku Mhudumu kutoka Ofisi ya Elimu akifikisha katika Masjala ya Halmashauri tayari kufika kwa Mkurugenzi vivyo hivyo kurudi kwake. Kwa hilo Barua zote kutoka ngazi ya chini zisizidi siku tano kuwa zimefika hadi kwa Mkurugenzi na kufanyiwa kazi. Wajumbe wamepokea maelekezo hayo na kaahidi kuyatekeleza.

Aidha katika ufafanuzi wa maelekezo amesisistiza kila kituo cha kutolea huduma kufanya vikao vya kupanga matumizi ya Fedha Watumishi wote wa kituo husika ili kuweka uwazi na uwajibikaji kwa kila mmoja hapo kituoni.

Katika hatua ya kujibu kero mbalimbali Mkurugenzi Mtendaji na Wakuu wa Idara mbalimbali wametoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya kiutumishi ikiwemo na ufuatiliaji wa stahiki za Watumishi.

Pia Mkurugenzi Mtendaji ametumia fursa hiyo kuwapongeza Walimu wote wa Shule za Msingi Wilayani hapa kwa kazi nzuri waliofanya na kufaulisha Wanafunzi wengi ambapo ufaulu huo umeiwezesha Wilaya kutoka nafasi ya 100 mwaka 2018 na kupata nafasi ya 42 mwaka 2019 Kitaifa.

Mwisho amewahasa Watumishi kufanya kazi kwa kufuata taratibu, sheria na kanuni na pale wanapopata changamoto wasisite kutoa taarifa katika Mamlaka husika yaani kufikisha kwa Mkuu wa Idara na ikishindika mtumishi hana budi kufikisha moja kwa moja kwa Mkurugenzi Mtendaji.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.