• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAUWASA yaleta bei mpya ya maji

Posted on: February 14th, 2019

Leo MAUWASA imefanya kikao na wadau pamoja na watumiaji wa maji Wilayani Maswa kuhusu ombi la kurekebisha bei ya majisafi.

Mamlaka ya majisafi na usafi wa mazingira Maswa ni mradi wa Maji wa Kitaifa miongoni mwa miradi 8 ya Maji ya Kitaifa iliyoko Tanzania Bara. Miradi mingine ya kitaifa ni KAHAMA SHINYANGA (KASHWASA), Handeni Trunk Main (HTM), Chalinze (Pwani), Mugango /Kiabakari (Mara), Masasi-Nachingwea, Makonde (Mtwara) na Wanging’ombe (Njombe). Mradi wa Maji Maswa unahudumia mji wa Maswa na vijiji 11 vya Zanzui, Malita, Dodoma, Mwabayanda, Mwasita, Mwabujiku, Hinduki, Buyubi, Mwadila, Iyogelo na Ng’wigwa.

Awali Mamlaka hizi gharama zake za uendeshaji na matengenezo zilikuwa zinachangiwa na Serikali hasa kulipa mishahara ya watumishi na kulipia bili za umeme. Lakini kwa sasa Mamlaka hizi zimetakiwa kujitegemea.

Gharama za huduma za majisafi  zinazotumika kwa sasa zilipitishwa mwaka 2009 na tangu hapo mbali na gharama za vipuli, umeme, mabomba na viungio vyake, madawa ya kutibu maji, bidhaa za petrol  kupanda mwaka hadi mwaka gharama hizi zimebaki palepale.

Kufuatia mabadiliko haya gharama zinazotumika sasa zinashindwa kukidhi gharama za uendeshaji na matengenezo pamoja na uwekezaji mdogomdogo. Aidha, Mamlaka inatakiwa kuanza kujitegemea kwenye gharama zote za uendeshaji zilizokuwa zikichangiwa na Serikali ili kuiacha Serikali kuendelea na uwekezaji katika miradi mipya. 

Kwa maelezo zaidi soma Taftishi kuhusu ombi la mabadiliko ya bei.pdf  na  Tangazo la EWURA.pdf

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.