• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Maswa yanufaika na mradi wa matumizi sahihi ya ardhi

Posted on: December 10th, 2022

Kamati ya mradi wa uboreshaji miji mjini na vijijini kutoka wizara ya ardhi imetoa mafunzo kwa wajumbe wa CMT katika Halmashauri ya Maswa wenye lengo la kupanga, kupima na kumilikishwa ardhi ili kuepuka migogoro pamoja kuwe na matumizi sahihi ya ardhi kwa wananchi wa maeneo hayo ya vijiji.

Akizungumza katika kikao hicho mjumbe wa kamati ya uboreshaji miji mjini na vijijini kutoka wizara ya ardhi Ndg Paul Samwel amesema Mradi huu unatekelezwa na serikali baada ya kupata mkopo kutoka Benk ya Dunia ambapo fedha hizo zitatumika kutekeleza mradi huo katika Mikoa 15, Halmashauri 41 kati ya Halmashauri hizo 34 ni Halmashauri za miji/ manispaa na Halmashauri za Wilaya 7.

Halmashauri ya Maswa ni miongoni mwa Wilaya ambazo mradi wa matumizi sahihi ya ardhi umefika kwa mantiki ya kuwepo kwa mipango miji  kutokuwepo kwa migogoro mingi ya ardhi na maeneo mazuri ya uzalishaji ikiwepo kilimo imechagiza mradi huu kufika Maswa

Mpango huo wa matumizi ya ardhi ya Wilaya utawezesha kubaini matumizi sahihi ya ardhi kabla ya kuandaa matumizi ya ardhi ya vijiji ambao kubaini  mipaka na aina mbalimbali za makundi ya ardhi yaliyopo katika hifadhi ya Wilaya ya Maswa ili kuepusha migogoro kwa kuwa swala hili ni shirikishi kwa wananchi wote

Mradi utakuwa na malengo ambayo ni uboreshaji wa usalama wa miji kwa kupima takribani viwanja 50,000 katika vijiji 250 kwa Halmashauri saba na Maswa ikiwepo, uboreshaji wa mifumo ya kidigitali katika ofisi za wizara kwa kuanzisha mfumo unganishi wa taarifa za ardhi (intergrated land information system) pamoja na ujenzi wa majengo ya gorofa moja katika mkoa kwa ajili ya ofisi.

Kwa upande wake Afisa maendeleo ya jamii mwandamizi kutoka wizara ya Ardhi Ndg. Tumaini Situmbi amesema Mradi huu unazingatia sana haki za binadamu katika utekelezaji wake hivyo amewataka wajumbe wanaohusika kwenye mazingira na maendeleo ya jamii kutoa Elimu ya kutosha kwa wananchi ili wawe na uelewa wa kuhusu mradi na kuhamasisha.






Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.