• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati ya FUM yatembelea kiwanda cha kusindika viazi lishe

Posted on: September 3rd, 2019

Halmashauri ya Wilaya ya Maswa katika hatua ya kuinua uchumi wa wananchi na pato lake imethubutu kusimamia uanzishwaji wa viwanda mbalimbali ikiwa ni hatua ya kutekeleza maelekezo ya Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Mhe. Dr. John Pombe Magufuli.

Viwanda hivyo ni kiwanda cha Chaki, kiwanda cha kusindika bidhaa ya ngozi ( Viatu, mikanda n.k), kiwanda cha kukoboa na kupanga madaraja mchele na kiwanda cha viazi lishe. Sambamba na hili iko katika hatua ya kuanzisha viwanda vikubwa mbalimbali.

Ikiwa katika utekelezaji wa majukumu yake Kamati ya Fedha, Utawala na Mipango (FUM) imetembelea kiwanda cha kusindika Viazi lishe kilichopo katika kijiji cha Njiapanda Kata ya Isanga wilayani hapa. Kiwanda hiki kimeanzishwa kwa lengo la kupunguza utapiamlo, kuboresha afya na kuongeza kipato kwa jamii. Kiwanda hiki kilianza kujengwa tarehe 22/1/2018 na kuanza uzalishaji tarehe 2/8/2019.

Kiwanda kimeanza kufungasha mifuko ya Kg.1 ya unga wa viazi lishe. Gharama ya Kg.1 ya unga uliofungashwa ni Tsh. 4500/= bei ya jumla kiwandani na Tsh. 5000/= bei ya rejareja. Unga huu unatumika kupikia uji, chapati, maandazi, mikate n.k kwa kuchanganya na unga wa ngano. Pia unatumika kama kiungo kwa ajili ya kuongeza viinilishe katika chakula kama chai, uji, maharage, makande, ndizi n.k

Makundi rika yote yanahamasishwa kutumia unga huu kwa ajili ya kuboresha afya zao.

Katika ziara hiyo Kamati ya FUM imeweza kutembelea pia Ujenzi wa Wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Wilaya ya Maswa, Mradi wa maji wa Jihu Ikungu, Mradi wa Maji wa Nyashimba Mhida na Ukamilishaji wa Zahanti ya Wigelekelo.

Matangazo

  • TANGAZO LA MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI June 19, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.