• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DR ZEGEGA AZINDUA CHANJO YA SURUA, RUBELA WILAYANI MASWA

Posted on: February 15th, 2024

Mganga Mkuu wa Wilaya ya Maswa Dk Hadija Zegega amezindua chanjo ya surua, lubela kwa lengo la kuwalinda watoto wenye umri chini ya miaka mitano kuepukana na magonjwa hayo.

Hayo yamesemwa leo tarehe 15.02.2024 mwaka huu  wakati akizindua chanjo hiyo katika hospitali ya Wilaya ya Maswa amsema Halmashauri ya Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu inatarajia kuwapatia chanjo ya ugonjwa wa surua na rubella watoto wapatao 110,891 wenye umri chini ya miaka mitano ili kuweza kujikinga na magonjwa hayo.

Amesema mpango wa Halmashauri ya Wilaya kupitia Divisheni hiyo imepanga kuwafikia watoto hao ili kuhakikisha kila mmoja anapatiwa chanjo hiyo ambayo ni muhimu sana kwa ajili ya kuwalinda ili wasiweze kupata magonjwa hayo.

"Mpango wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa ni kuwafikia Watoto110891 kwa kipindi cha siku nne kuanzia  leo februari 15 hadi februari 18 mwaka huu na tukiwachanja wote hao tutakuwa tumefikia lengo letu la kuwachanja watoto kwa asilimia 100 waliopo katika wilaya ya Maswa,"amesema.

Dk Zegega amesema ili kuweze kufikia malengo hayo ni vizuri Wakinamama wenye watoto wenye umri huo kuwapeleka watoto wao katika vituo vya kutolewa chanjo ili waweze kupaya chanjo hiyo ili kuwakinga na ugonjwa wa surua ambao unaweza kumsababishia mtoto upofu na madhara kwenye mapafu.

"Napenda kutoa rai kwa akinama wenye watoto wenye umri wa miezi tisa hadi miezi 59 kuwapeleka watoto wao katika vituo vya kutolea chanjo ili waweze kupata chanjo hii ya surua na rubella kwani ugonjwa wa surua ni hatari kwa watoto unaweza kumsababishia upofu pamoja na madhara kwenye mapafu,"amesema.

Awali Mratibu wa Chanjo wilaya ya Maswa, Abel Machibya amesema kuwa  Hospitali ya Wilaya hiyo ni miongoni mwa vituo 102 ambavyo vitatoa chanjo hiyo ili kuhakikisha watoto wote waliowekwa kwenye lengo la kuchanjwa wanafikiwa.

Amesema kuwa chanjo hiyo ni bora na salama kwa afya za watoto hivyo ni vizuri wananchi wote wakajitokeza kwa wingi kuwaleta watoto wenye umri huo katika vituo vya huduma na huduma ya mkoba kwa ajili ya kupata chanjo hiyo muhimu kwa afya ya watoto wao.

"Tutakuwa na vituo 102 kwa ajili ya kutolea chanjo hii ya Surua na Rubela na kituo cha hospitali ya Wilaya ya Maswa ni miongoni kati ya vituo hivyo ninawakaribisha wakinamaa wenye watoto wenye umri huo wawalete watoto wao ili wapate chanjo hiyo ambayo ni salama,"amesema.

Pia, amewaasa watumishi wa kada ya afya kutoa huduma kwa kufuata misingi ya viapo vyao na kwa uadilifu na uaminifu ili wananchi wa Maswa washuhudie ubora wa huduma lakini pia thamani ya wanaotoa huduma hizo.


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • WALIMU WA AWALI WAPATIWA MAFUNZO YA MBINU BORA ZA KUFUNDISHIA

    June 10, 2025
  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.