• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC MASWA AWAPONGEZA WATENDAJI WA KATA KWA USIMAMIZI WA AFUA ZA LISHE

Posted on: March 8th, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe. Aswege Kaminyoge amewapongeza watendaji wa kata,vijiji na viongozi wa kuchaguliwa kea usimamizi mzuri wa lishe kwa kuwa watoto wote wanapata chakula katika shule zote za Wilaya ya Maswa.

“Nichukue nafasi hii  kuwashukuru watendaji wa Kata, Vijiji na viongozi wengine mliochini kwa kubadilika na kuanza kuwa wabunifu na kufanya kazi vizuri kwa kuwa kazi inaonekana kwenye usimamizi na ufuatiliaji wa afua za lishe.” Mhe Kaminyoge

Pia amewataka  Watendaji hao  kuhakikisha wanaangalia namna ya kuwasaidia watoto ambao wanatoka katika familia ambazo hazina uwezo wa kupeleka chakula shuleni ili na wao wasijisikie sehemu ya familia vibaya kwa lengo la kuwafanya waendelee kusoma

Wale watoto wengine wanajiona kama yatima tunatengeneza  kitu kingine ambacho kikubwa kwa wale watoto wenzao wakinywa uji wanapoingia darasani na wenyewe hawajanywa uji ni ngumu sana yule mtoto kuelewa

Pia amesema Watendaji wa Kata wana jukumu la kusaidia watoto ambao hawajiwezi katika maeneo yao kwa kuwachambua watoto wanaotoka katika familia ambazo hazijiwezi ili nao waweze kupata chakula shuleni na  kujisikia kama sehemu ya familia kwenye shule wanazosoma.  

Aidha ametoa wito kwa watendaji kwa robo ijayo ya tathmini hali ya lishe iwe asilimia 100% wototo wote wapate uji na chakula mashuleni kwa kuwa sasa ipo asilimia 98% ya watoto wote.

"Watendaji kafikilieni watoto ambao wapo wenye hali mbayahawawezi kupata msaada wowotekutoka nyumbani kuleta chakula shuleni wapo mkawabainishe muone namna gani ya kuzungumza na kamati ya shule na serikali ya kijiji muone  mnawasaidiaje wale tunaweza tukaweka kundi ambalo linasababisha wasipate elimu nzuri kwa sababu ya kuwabagua kupata uji au chakula shuleni." Mkuu wa Wilaya

Aidha ametoa wito kwa watendaji wa kata kwa robo ijayo ya tathmini hali ya lishe iwe asilimia 100% ya watoto wote wapate uji na chakula mashuleni kwa kuwa sasa ipo asilimia 99% ya watoto wote wanaopata chakula shuleni.

Katika hatua nyingine ametoa pongezi kwa watendaji wa Kata kwa kusimamia kwa ufanisi ugonjwa wa kipindupindu ulikuwa umejitokeza katika kwa kudhibiti kwa siku 18 na baada ya siku 30 Wilaya y a Maswa haikuwa na ugonjwa wa kipindupindu tena.

Aidha ametoa wito kwa watendaji kuendelea kuchukua tahadhari kwa kutoruhusu wananchi kula katika chakula kwenye mikusanyiko  kwa kuwa ugonjwa huo Bado upo katika wilaya za Itilima, Bariadi na Meatu.

"Niwaombe matukio hayo yakitokea kwenye Kata zenu muwaambie wenyeviti wa vitongoji, wenyeviti wa Kijiji na watendaji wa vijiji kwamba hakuna tena kula kwenye mikusanyiko mpaka mtakapotangaziwa kwa sababu kama kipindupindu kipo Itilima, Bariadi na Meatu ni rahisi kufika kwetu sisi na chenyewe hakichagui mipaka." Amesema Mhe. Kaminyoge


Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.