• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua pepe |
    • Mrejesho |
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa
Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhamira na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati ya Halmashauri
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Divisheni
      • Utawala na Usimamizi wa Rasilimali Watu
      • Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe
      • Miundombinu, Maendeleo ya Vijijini ya Mjini
      • Kilimo, Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii
      • Elimu ya Awali na Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Uratibu
      • Viwanda, Biashara na Uwekezaji
    • Vitengo
      • Tehama
      • Huduma za Sheria
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Usimamizi wa Ununuzi
      • Michezo, Utamaduni na Sanaa
      • Uhifadhi wa Maliasili na Mazingira
      • Mawasiliano Serikalini
      • Usimamizi wa Taka na Usafi
      • Fedha na Uhasibu
  • Fursa za Uwekezaji
    • Kilimo
    • Viwanda
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za kudumu za Halmashauri
    • Ratiba
  • Miradi
    • Miradi iliyopangwa
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi inayoendelea
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Sheria ndogo
    • Fomu
    • Mpango Mkakati
    • Mkataba wa huduma kwa mteja
  • Kituo cha habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Video

DC KAMINYOGE AMPONGEZA RAIS KWA KUTOA FEDHA NYINGI ZA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

Posted on: April 22nd, 2024

Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mhe Aswege Kaminyoge amesema serikali ya awamu ya sita ya Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa fedha kwa ajili ya miradi mbalimbali ya maendeleo katika huduma za kijamii na kiuchumi ambapo kuanzia marchi 2021 mpaka sasa Wilaya ya Maswa imenufaika na miradi ya bilioni 30 mpaka 40.

“Fedhe hizo zinatolewa kwa ajili ya kumalizia miradi ambayo wananchi wameanza nayo hivyo amewataka viongozi wa Vijiji, Kata na Chama  kutoa elimu kwa wananchi mahali penye upungufu wa vyoo wananchi wasaidie kuchimba na kujenga ili  hela zinazotolewa na Mhe Rais  ziweze kumalizia kazi hizo kwa ajili ya ufundi  na vifaa vya viwandani.

Mhe Kaminyoge amesema hayo wakati akijibu kero mbalimbali zilizotolewa na wananchi  katika ziara ya mwenyekiti wa ccm mkoa wa simiyu alipotembelea wilayani maswa kwa lengo la kusikiliza na kutatua kero la wananchi pamoja na kufatilia utekelezaji wa Ilani ya uchaguzi ya CCM ya mwaka 2020 -2025 katika tarafa zote za Wilaya Maswa

“Mhe Rais kwa mwaka huu unaoisha juni ametoa shilingi milioni 300 kwa ajili ya ujenzi wa matundu ya vyoo laiti kama katika wilaya hii ya maswa shule za msingi na shule za sekondari zingekuwa tayari na matundu yaliyojengelewa tungeweza kutumia shs 300 zote kukamilisha upungufu wote wa vyoo ambavyo tunavihitaji kwa sasa.” Mkuu Wa Wilaya

Pia amewataka viongozi kutoa elimu kwa wananchi ili serikali imalizie pale wananchi walipoiishia vilevile Mhe Rais katika mwaka wa fedha uliopita alitoa zaidi ya shs bilioni 5.5 kwa ajili ya kumalizia vijiji 39 ambavyo havikuwa na umeme katika wilaya

Mkuu wa Wilaya amesema Mhe Rais ametoa maelekezo ifikapo 2025 atatoa fedha  nyingine kwa ajili ya kusambaza umeme mpaka ngazi ya kitongoji  hivyo amewataka wananchi kuwa na subira kwa kuwa serikali inaedelea kuchakata ili ifikapo 2025 vitongoji  vyote viwe na umeme nchi nzima.

Mkuu wa Wilaya pia ameendelea kutoa wito kwa viongozi kuendelea kusikiliza na kutatua kero za wananchi sambamba na hilo katika kuboresha miundombinu ya maji Mhe Rais ametoa zaidi ya shs milioni 600 katika kijiji cha Mwashegesi kwa ajili ya kusambaza maji kwa wananchi,

ametoa bilioni 1.9 kwa ajili ya tenki kubwa katika Kata ya Zanzui ili maji yasambae  Zanzui, Malita na Mwabujiku, Mwamashimba ametoa zaidi ya bilioni 1.9, Hinduki Kata ya Sukuma ametoa zaidi ya bilioni 2 kwa ajili ya ujenzi wa tenki kubwa kwa ajili ya kusambaza maji mjini na Ngongwa.  



Matangazo

  • TANGAZO LA UHAMASISHAJI CHANJO YA MIFUGO January 21, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI May 20, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI May 27, 2022
  • MATOKEO YA USAILI WA MCHUJO May 30, 2022
  • Tazama zote

Habari Mpya

  • PPRA YATOA MAFUNZO YA MFUMO WA NeST KWA WATAALAMU WA UNUNUZI WILAYANI MASWA

    March 27, 2025
  • DKT ANNEY; NENDENI MKASIMAMIE MIRADI YETU VIZURI

    March 26, 2025
  • VIKUNDI 15 VYA WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU VYAPATA MKOPO

    March 26, 2025
  • KAMATI YA ULINZI NA USALAMA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MASWA

    March 10, 2025
  • Tazama zote

Video

Fursa za uwekezaji Mkoani Simiyu
Video zaidi

Viunganishi vya Haraka

  • Sensa ya mwaka 2022
  • Taarifa ya Mapato na matumizi
  • Mfumo wa FFARS
  • Mfumo wa IMIS
  • Mfumo wa PlanRep
  • Government Web Framework
  • Mfumo wa PREM
  • Maswa DC Mail Domain
  • Hotuba ya Mh. Waziri Mkuu PLANREP/FFARS

Viunganishi linganifu

  • Tovuti ya Mkoa wa Simiyu
  • Utumishi
  • Tovuti kuu ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Sekretariet ya Ajira
  • Ikulu
  • Baraza la Mitihani Tanzani
  • Wizara ya Elimu Tanzania
  • Wizara ya Afya
  • Wizara ya Fedha
  • Ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Mwonekano wa Ramani

Wasiliana Nasi

    Halmashauri ya Wilaya ya Maswa

    Sanduku la Posta: 170, MASWA

    simu ya Mkononi: +255 282 750 271

    Simu: +255 282 750 271

    Barua Pepe: ded@maswadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Copyright ©2022 Maswa District Council. All rights reserved.